Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Ngoja kwanza hapo hapo

Kumbe unakubaliana kuwa Quran ime miss verse ambazo zilitakiwa kuwepo ila utata uko kwenye idadi sio?

Umeomba Quote haya hii hapa

View attachment 2145387
Qur'aan haijamiss hata herufi moja achilia mbali aya, nachokubali mimi ni kuwa kuna aya zilifutwa matamshi ila hukumu inafanya kazi kama aya ya kumpiga mawe mpaka kufa mzinifu wa kiume na wa kike ambao wako kwenye ndoa, na zipo zilizofutwa kabisa ambazo hazisomwi kabisa.

Lakini kuhusu maelezo hayo hiyo hadithi ni dhaifu (weak) sababu kwenye hiyo chain kuna mtu dhaifu aitwae "Abdullah Ibn Lah'ah, lakini vile masimulizi hayo yamepingana na masimulizi ya wapokezi sahihi na ambayo tunayakuta katika vitabu vya Imamu Suyuti ad-Durr al-Manthoor (juzuu ya 5, uk. 180) na al-Itqaan (juzuu ya 2, uk. 25) kwamba kipindi cha Mtume wa Allah (amani ya Allah iwe juu yake) Surat al-Ahzaab ilikuwa na aya 200 , kisha ikapunguzwa urefu wake ikawa kama ilivyo sasa hivi, Lakini mapokezi sahihi tunayapata kwa Ibn Hibbaan katika Sahihi yake (10/273) na al-Haakim katika Mustadrak yake (2/450), kadhalika kutoma kwa Zirr kutoka kwa Ubayy ibn Ka‘b, ambaye amesema : Surat al-Ahzaab ilikuwa sawa kwa urefu na surat Surat al-Baqarah (ambayo hii ina aya 286).
 
Kwani kuna ubaya gani wa kuifanya habari iliyokaa kwenye hiyo chapter ionekane ya uwongo?

Hiyo nukuu ya Aisha ipo kwenye variant sources na inaungwa mkono, nashangaa unapo propose hoja nyepesi kabisa kufifisha uzito wa hoja kama hiyo

Angalia hii ni source nyingine ambayo haina hiyo chapter ya "Nasikh wa al Mansukh" na usome hapo halafu kafananishe na kwenye kile kitabu nilichokupatia

View attachment 2145421
Huu ndiyo ujinga wa kuto kusoma. Hicho ni kitabu cha hadithi, ambacho kimekusanya Matni za hadithi, ndiyo katika kuhakiki hizo hadithi utakuta sahihi, hassan na dhaifu.

Katika maelezo ya sherehe za hizo hadithi kulingana na fani ndiyo zinaingizwa katika milango ya nasikh na mansukh kama alivyo fanya Imam Suyuti na wanachuoni wa Qur'aan ndiyo maana hata kwenye ile post yako ya 141 nilikwambia hiyo nukuu haipo kwenye kitabu cha Imamu Suyuti wala kwenye chanzo chochote cha Uislamu.

Kadhalika hili limeongelewa katika vitabu vingine vya hadithi. Rejea katika kitabu hichi an-Nasaa’i in al-Kubra (4/271, 272).
 
Kwani kuna ubaya gani wa kuifanya habari iliyokaa kwenye hiyo chapter ionekane ya uwongo?
Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.

Ubaya upo kwanini ufanye jambo liwe uongo ?
 
Sawa,bali nilifanyaje ? Nilikimbia si ndiyo ? Sasa jambo ambalo ukiangalia tu hiyo translation uliyoiweka hayo maelezo unayakuta katika mlango wa aya zilizo futwa na zoezi hilo limefanyika kabla ya mtume kufariki.

Lakini kingine suala la kufutwa kwa aya nilikwambia kabla na nikakuwekea jina la kitabu urejee, lakini huenda ninayo yaongelea ni mapya kwako. Sasa unapopewa muongozo fuata ili usiendelee kuonekana mbambaishaji.
Kwanza sio aya zilizofutwa, kama umepitia kusoma vizuri mwanzo wa hiyo page ya 49 utaona wame analyze list ya aya ambazo zimefutwa

Hutaiona hiyo Quote ikiwakilishwa kama ni moja kati ya hizo deleted verses
 
Waifanyie kazi gani wakati ililiwa na mbuzi?

Wangeikutia wapi?
Nimecheka sana wenzako walikuwa wanaandika kwa muda wao ndiyo maana ukisoma hicho hicho kitabu utasikia kuna msahafu wa Ubay Ibn Ka'ab, wapo maswahaba ambao walibaki nazo aya zilizo futwa lakini walikuwa wana zijua kwamba hizi zimefuta mfano ukisia sikia kuna sura mbili kwenye msahafu wa Ubay Ibn Ka'ab ambazo ni al-khal na al-Hafd, hizi zilikuwepo zama za mtume ila zilifutwa na mtume na hazifanyi na wao wanalijua hilo na ndiyo maana walipo kuwa wanauliza na wanafunzi wao walikuwa wanawajibu bioa wasi wasi.
 
Sawa,bali nilifanyaje ? Nilikimbia si ndiyo ? Sasa jambo ambalo ukiangalia tu hiyo translation uliyoiweka hayo maelezo unayakuta katika mlango wa aya zilizo futwa na zoezi hilo limefanyika kabla ya mtume kufariki.

Lakini kingine suala la kufutwa kwa aya nilikwambia kabla na nikakuwekea jina la kitabu urejee, lakini huenda ninayo yaongelea ni mapya kwako. Sasa unapopewa muongozo fuata ili usiendelee kuonekana mbambaishaji.

Nakuuliza swali unakubali kama nilikueleza juu ya aya zilizo futwa katika Qur'aan unakubali ?
Mimi siongelei habari za verse kufutwa, naongelea habari za verse kupotea na kuifanya Quran i miss some chapters

Yaani kiufupi unachojibu hapa sicho nilichokiuliza na ndio maana nazidi kukusisitizia kua ile Quote hukuielewa
 
Sasa nirudi tena kujibu ujinga ambao nilishakujibu huko mwanzo, na ukisoma hicho hicho kitabu hayo maneno yabajielezea wazi kuwa yapo katika mlango wa "Nasikh wa al Mansukh" hivi unajua maana ya hayo maneno ?
Kuna milango mingapi?

Maana ya maneno nishakupa

Haya tuambie kwa mujibu wa ile Quote ulivyoelewa wewe kilichoongelewa pale ni kufutwa au kupotea kwa verse ambazo hazikuwa retrieved?
 
Kwanza sio aya zilizofutwa, kama umepitia kusoma vizuri mwanzo wa hiyo page ya 49 utaona wame analyze list ya aya ambazo zimefutwa

Hutaiona hiyo Quote ikiwakilishwa kama ni moja kati ya hizo deleted verses
Kijana unanipotezea muda ujue ? Hapa najadiliana na mtu ambaye hasomi kitabu alichokiweka mwenyewe.

Kwenye hicho kitabu chako anuani inasomeka "Nasikh and Mansukh" kisha ikaanza na ukurasa wa kwanza imeenda mpaka huo ukurasa wako wa hizo nukuu za ukurasa wa 12 na 13 yaani sawa na kurasa ya 60 na 61. Halafu ulivyo mjinga unakataa kwamba haipo katika nasikh na mansukh haya tuambie ipo katika nini ?
 
Kuna milango mingapi?

Maana ya maneno nishakupa

Haya tuambie kwa mujibu wa ile Quote ulivyoelewa wewe kilichoongelewa pale ni kufutwa au kupotea kwa verse ambazo hazikuwa retrieved?
Hiyo Quote nimeshaielezea kuwa ni dhaifu sababu ya uwepo wa msimuliaji aitwaye Lah'ah na nikakuwekea masimulizi sahihi na unapo yapata. Kijana uwe unasoma ninayo yaandika.
 
Mimi siongelei habari za verse kufutwa, naongelea habari za verse kupotea na kuifanya Quran i miss some chapters

Yaani kiufupi unachojibu hapa sicho nilichokiuliza na ndio maana nazidi kukusisitizia kua ile Quote hukuielewa
Hakuna aya iliyo potea kijana soma ninayo kuandikia.
 
Kitabu halisi hayo ni madai yako ambayo umeyaweka kwa dhumuni maalumu la kukwepa hoja

Umeweka madai ifahamike translation imepotosha na ukweli sahihi upo kwenye kitabu cha asili (ambacho unajua siwezi ku decode lugha yake)

Kama ni hivyo basi mambo yasingekuwa simple hivyo kwa maana hata biblia ya leo ya kikristo haikuandikwa kiswahili au kingereza lakini bado mmekuwa mkikosoa kupitia hizo hizo translation
Kwanza jibu maswali ninayo kuuliza.

Kingine hivi vitabu vinauzwa hata ukienda Kariakoo kanunue kisha mtafute mtu unaye mjua anajua Kiarabu akuonyeshe hiyo nukuu unayo isema wewe. Hapa hatuoigi stori kijana, watu wamepoteza umri wao wakifanya tafiti juu ya haya mambo, wewe unakuja kuchakua chakua na kupotezea watu muda.
 
The personal character of an individual is logically irrelevant to the truth or falseness of the argument itself

Mimi pia nina kauli mbaya za kuudhi, amini kwamba tukikubaliana tutumie mfumo huo hapa basi huu mjadala utaisha kwa mmoja kupigwa ban
Kawaida simba huwa hajibizani na mbwa. Wewe tukana utakavyo weza hapa sikutukani bali nakupa haki yako, ndiyo maana hukuti wala hutanikuta nikimtukana mtu matusi tuliyo yazoea na hizi ni lugha za kielimu mtu kuambiwa mjinga na kweli mjinga hili siyo tusi kijana. Unachotakiwa uangalie namna ya kuuondoa huo ujinga wako.
 
Yani unani combine na mimi kwenye madai yako kuwa wote tumekubaliana kuwa hayo maneno hayapo?
Kama hujakubaliana tuonyeshe katika kitabu cha asili yako wapi. Kingine hata kusoma Kiarabu hujui unaokoteza okoteza unashindwa kujengea hoja unachokiweka.
 
Sawa,bali nilifanyaje ? Nilikimbia si ndiyo ? Sasa jambo ambalo ukiangalia tu hiyo translation uliyoiweka hayo maelezo unayakuta katika mlango wa aya zilizo futwa na zoezi hilo limefanyika kabla ya mtume kufariki.

Lakini kingine suala la kufutwa kwa aya nilikwambia kabla na nikakuwekea jina la kitabu urejee, lakini huenda ninayo yaongelea ni mapya kwako. Sasa unapopewa muongozo fuata ili usiendelee kuonekana mbambaishaji.


Kingine huu ndiyo utaratibu wangu napoona mtu namjibu hoja zake anarudia rudia huwa nashika njia naangalia hoja mpya. Siwezi kupoteza muda na mjinga, sababu mtu makini na anaye taka kujua ukweli ushahidi mmoja utamfaa na kumtosheleza lakini mtu mbishi na asiyetaka ukweli hata umpe hoja au shahidi elfu hakubali, na huyu ndiyo wewe.

Au wewe unataka nikwambie nilikimbia, nikaenda kusoma si ndiyo au unataka nikupe jibu gani ? Au nikwambie swali lako lilikuwa gumu nikaenda kusoma ? Jalia vyote hivyo, haya kimebadilika nini ? Kijana unapoteza muda kwenya hakuna.
Mtu yeyote anayekwepahoja atatumia defense kama yako, mwanzo uliponipa wrong screenshot mbona ulisimama mstari wa mbele ku refute hoja zangu?

Kwamba ulikosa busara ya kukaa kimya na kunipuuza mpaka pale nilipokuja kukusahihisha kua umenukuu kitu tofauti na mimi?

Na kwa wakati huo wala hukupata mashaka ya authentication ya hicho kitabu mpaka nilipokuja kukuonesha Quotes ambayo mpaka saizi hujaweza kui refute na hujajua ina maanisha nini mpaka muda huu

Nakushangaa unapotoka kifua mbele kuniita mjinga na kulazimisha nikubaliane katika mawazo yako ambayo hayako clear.
 
Mtu yeyote anayekwepahoja atatumia defense kama yako, mwanzo uliponipa wrong screenshot mbona ulisimama mstari wa mbele ku refute hoja zangu?

Kwamba ulikosa busara ya kukaa kimya na kunipuuza mpaka pale nilipokuja kukusahihisha kua umenukuu kitu tofauti na mimi?

Na kwa wakati huo wala hukupata mashaka ya authentication ya hicho kitabu mpaka nilipokuja kukuonesha Quotes ambayo mpaka saizi hujaweza kui refute na hujajua ina maanisha nini mpaka muda huu

Nakushangaa unapotoka kifua mbele kuniita mjinga na kulazimisha nikubaliane katika mawazo yako ambayo hayako clear.
Sasa wewe sikukuelezea kwamba hayo yapo kwenye kipengele cha nasikh na mansukh kabla ? Na kitabu nikakuwekea ? Sasa kama husomi sisi tunasoma na hili lilikuwa limeisha mapema sana.

Sasa kijana tenga muda wako usome teba usome hasa na jitahidi kama unataka kuwa mtafiti uwe na vitabu vya asili.
 
Huu ushauri huwa tunaambiwa na walimu na sisi tunawaambia nyinyi vijana, maana yake unapaswa usljifunze lugha kama unataka kuwa mtafiti na upate kile hasa kilichokusudiwa, wapo watu kibao wanaamua kujifunza lugha fulani kwa lengo kufanya utafiti fulani.

Sijasema hicho kimeandika uongo, nimesema hicho kipande ulichokikusudia wewe kwenuye kitabu asili hakipo, sasa nakuuliza wewe kimetoka wapi ? Lakini hujaona kama nimekubali ya kuwa hayo ya humo yapo katika mlango wa "Nasikh wa al Mansukh" kama ilivyo kwenye kitabu cha asili, na ndiyo maana nasisitiza kwamba kwanini hukusoma hiyo translation na ukaona fika kwamba hayo yamo kwenye chapter hiyo ya aya zilizo futwa ? Sasa ujinga wako usiutafutie upenyo, wewe kubali tu kwamba hili limekushinda na hoja huna.

Sasa nakuambia hivi, kwa mtindo huu unao enda nao wa "shortcut" hautakufikisha kokote. Bora upoteze miaka na mikaka kujifunza jambo na ukapatia kuliko kupita mapito unayo pita.
Huo ushauri umeambiwa na watu ambao ana lengo la kuficha ukweli

Nimesoma origin of Quran na historical evidence ya namna uchakachuzi ulivyokuwa unafanyika, na tamaduni nyingi za kiarabu zenye mitazamo tofauti juu ya hizi habari

Hiyo Quran ya Uthamn collection nikikuambia ni lini ilianza kuwa recognized as official codex sidhani kama utakuwa unajuam, kwasababu vyanzo vyako ni madrasa

Muhammad kafarikia mwaka 632 C.E lakini material ya awali kabisa ambayo tuna posses muda huu yaliandikwa na mtu aliyeitwa Ibn Ishaq mwaka 750 C.E yani kwa tafsiri fupi ni kwamba ni baada ya miaka 120 na upuuzi tangu muhammad afariki.

Mashaka kuhusu authenticity yanazidi kuwa critical zaidi kwasababu historical evidence inaonesha original form aliyoandika Ibn Ishaq ilipotea na vinavyoweza kupatikana ni vipisi tu ambavyo navyo vikaja kuwa revised na mtu aliyeitwa Ibn Hisham baada ya miaka 200 kupita tangu muhammad afe

Haya huwezi kuyakuta madrasa
 
Kijana naona unipotezea muda, kingine uwe unajibu maswali ninayo kuuliza. Nimekuuliza kwanini hayo maneno unayakuta katika chapter hiyo ya "Nasikh wa al Mansukh" ? Soma hiyo translation yako kisha uniambie unajua nini kuhusu "Nasikh wa al Mansukh". Nilikuuliza huko juu kwanini hayo yamewekwa katika mlango huo ?

Nukuu, uliyo iweka nimekwambia umeipata wapi na haipo katika vyanzo vyoyote vya vitabu vya asili vya Uislamu, hukuti kwenye vitabu vya hadithi wala huikuti kwenye kitabu cha Imamu Suyuti, na Imamu Suyuti ana kitabu kingine kinaitwa "An-Nuqaayah".

Uwe una jibu maswali unayo ulizwa.
Nishakujibu maana ya hayo maneno

Nimekupa task uniambie kupitia ile Quote unaweza kuhusianisha hayo maneno kwa namna gani yakaleta tafsiri kuwa ile Quote iluzungumzia verse zilizofutwa?
 
Swali maneno hayo na vitendo hivyo vimefanyika Mtume akiwa hai au akiwa amekufa ?

Hiyo nukuu haipo kwenye hicho kitabu cha Imamu Suyuti.

Pili, kwa maana ya nukuu iliyopo kwenye kitabu cha Imamu Suyuti, swahaba Ibn Umar alikuwa ana maanisha kuwa sababu kuna aya zilifutwa.

Tatu, sababu hoja yako unainasibisha na kipindi cha ukusanywaji wa Qur'aan uongo wa hoja hiyo unaingia hapo.

Naomba unionyeshe hiyo nukuu wapi inaonyesha upotevu ?

Na kuna ile uliyo sema 200 ukamnasibisha nayo mama Aisha, nikakuomba uniwekee ushahidi hujaweka mpaka muda huu.

Kingine kama unavyodai ya kuwa hayo maneno hayazungumziia nasikh na mansukh,kwanini tunayaona katika huo mlango (chapter) wa Nasikh na Mansukh ? Hapa nakuonyesha kwa namna gani hujui unachokidai
Nilikuambia unaimbie uhusiano wa ile Quote na yale maneno kama yana relate yeyote na madai yako kua Quote inazungumzia verse zilizofutwa lakini mpaka sasa hujajibu.

Naachana na hilo na consider kama ni swali lililokuzidi na kuendelea kulisisitiza ni kuzidi kupoteza muda

Narudi kwenye swali lako

Swali la kuuliza hayo maneno yaliandikwa au kufanyika katka kipindi cha mtume yuko au akiwa amefariki linazidi kuoniongezea mashaka juu ya umakini wako wa ile nukuu

Huyu nukuu inazungumzia after collection under Uthman halafu we unakuja kuuliza kama wakati huo Muhammad alikuwepo au lah, huoni kama una expose your laziness?

Swali lako lingine hili hapa chini ni very laughable
"Naomba unionyeshe hiyo nukuu wapi inaonyesha upotevu?"

Nakujibu kwa reference kupitia nukuu hiyo chini yake zilipo orodheshwa sababu ya kuifanya Quran iwe incomplete kwa verse nyingi kushindwa kupatatikana mpaka akawasahihisha kuwa wasiseme wanaijua Quran kwasababu huyo collector vitu vingi hakuweza kuvi retrieve na badala yake alitakiwa kusema nimekusanya kile ambacho kiliweza kupatikana
 
Naanzia hapa. Shida unayo leta wewe ni kulazimisha mambo yawe unavyo taka wewe na si kuwa ni hona ya msingi, sababu ungesoma tu kitabu cha Imamu Suyuti ameyaongelea hayo mambo na hii Translation yako ukiyo iweka imekosa mambo mengi sana imekosa chambuzi za kihadithi alizo ziweka Imamu Suyuti, ndiyo maana nakusihi usome kitabu cha asili, ila naamini mwisho wa siku utakubali kimya kimya.

Hilo unalosema haliwezi kuifanya Qur'aan isiwe sahihi sababu maelezo yake yapo na hapa nitakuelezea nataka tumalizane na hili la hiyo nukuu ambayo hatuikuti katika kitabu cha asili.
Unakataza kulazimishana halafu hapo hapo unalazimisha nisome kiarabu ambacho mimi sikiwezi unataka nikueleweje?
 
Back
Top Bottom