kutoa taarifa zako online its the worst u can do, leo hii tiktok imefungwa marekan kisa kuchukua data, same same google, whatsapp zmefungwa china same same kisa kuchukua taarifa, na hizi kampuni znapigwa faini kubwa always wakijulikana wanachukua taarifa za watu: Russia fines Google more than entire world's GDPMkuu labda tufungue mjadala rasmi threat za ukusanyaji taarifa ni zipi, na kwanza ni taarifa gani hatari kukusanywa?
fans wapi bana viongozi wenu hao, mlishaibika basi tena amna namna! na ubishi tu uliwajaa now face realityHao ni fans tu usiumize kichwaa
Serikali iandae mkakati wa kua na kitengo ya mambo ya kidigitali ili kuepuka na mambo kama haya,hujawaona walivofanya uzinduzi mbna ungecheka:
View: https://www.youtube.com/watch?v=_w7OxRgWIiI&t=587s
Sawa mkuu, hoja ni kwamba kuna threat ipi, na data ipi ni hatari kuitoa? Tukifahamu hivi sasa ndo tutashuka kuangalia tiktok, google, exchanges na kadhalika tunajihami vipikutoa taarifa zako online its the worst u can do, leo hii tiktok imefungwa marekan kisa kuchukua data, same same google, whatsapp zmefungwa china same same kisa kuchukua taarifa, na hizi kampuni znapigwa faini kubwa always wakijulikana wanachukua taarifa za watu: Russia fines Google more than entire world's GDP
View attachment 3251618
ila ni vile tuna mangombe amna haya ya kuyaeleza
hawa ata ukiwa vitengo hawasaidiki, ni wabishi na wafia imani, ungewaona sasa mda wa kutoka sura zilikua kama zmevalishwa jezi za arsenal, wamevimba balaa.Serikali iandae mkakati wa kua na kitengo ya mambo ya kidigitali ili kuepuka na mambo kama haya,
Umeumia kishenzi wenzako walivo mine PI coins huku wewe huna chochote.fans wapi bana viongozi wenu hao, mlishaibika basi tena amna namna! na ubishi tu uliwajaa now face reality
Ana uchungu na wana Pi network kuliko ndugu zake na familiaUmeumia kishenzi wenzako walivo mine PI coins huku wewe huna chochote.
threats hua haziji direct after data zmechukuliwa ila with time ndo tunaona effect, kwa mfano ipo ripoti moja ya jeshi la polisi china inahusisha mauaji na data za PI, hiii ni moja tu ya what can happen the worse ila pia online hatutoagi taarifa zetu kila serikali duniani inapambana sana na hili tatizo, ni ngombe wachache hua wanatungusha ila pia hakuna cha bure duniani, how far it can go time will decideSawa mkuu, hoja ni kwamba kuna threat ipi, na data ipi ni hatari kuitoa? Tukifahamu hivi sasa ndo tutashuka kuangalia tiktok, google, exchanges na kadhalika tunajihami vipi
Hizo dollar umefanikiwa kuzitoa?Nina Pi nyingine 500 ambazo naweza kuziuza muda wowote na nina nyingine 1400 ambazo nasubiri ziwe migrated niweze kuzitumia.
Kuhusu kuwa dollar ngapi inategemea mtu info zake alikuwa anazipata wapi ila mimi nilijua ikifunguliwa haitazidi USD 3 na ikiendelea kufanya vizuri mbeleni inaweza kufikia kule ambaPo watu wali predict.
Ila mimi sioni watu wanaumiaje na wakatu ni kitu mtu una mine free. Hapakuwa na cost yoyote gharama pekee ni muda ambao ni mara moja kwa masaa 24 unabofya tu neno mine. Hata haili mb 1.
Sasa pi 300 tu nina dollar 500+ ambayo ni million na laki kadhaa nina hasara gani?
Mkuu kitengo ni muhimu kwa ajili ya public. Nft ikekuaje? Nakumbuka ITV kipindi cha wajasiliamali kama sio kile cha mchana mahojiano kinachokua live alikujaga anty mmoja pale wakajadili cypto na nft muda ule nft ndo imeanza mi kwa akili za kawsida tu nikasema hapa kwenye nft hakuna kitu mapema sana.hawa ata ukiwa vitengo hawasaidiki, ni wabishi na wafia imani, ungewaona sasa mda wa kutoka sura zilikua kama zmevalishwa jezi za arsenal, wamevimba balaa.
ivi wewe fikiria mwanzilishi wa crypto bitcoin ana coins 21M kwenye mzunguko na nyingi zmepotea wengine washasahau keys price 84k. genge la viazi la PI ambayo lina matangazo ya kuingiza pesa kwa waanzilishi lina coins 100B wanataka price ya billion 1 per coin kama sio uchawi ni nn,
kuna coin inaitwa SEX, ina coin moja tu kwenye mzunguko ndo atleast price yake imechngamka
View attachment 3251625
sasa hawa wana coins 100B , serikali inatakiwa iweke kitengo cha fimbo
🤣 🤣 🤣 sina mengi ya kusema ila nyie ni mangombeUmeumia kishenzi wenzako walivo mine PI coins huku wewe huna chochote.
vp ushaingia kibaruani ndugu bilioneaAna uchungu na wana Pi network kuliko ndugu zake na familia
issue sio kitengo, imagine tuko tunawaelewesha simple ecnomics apa kabla ata pi haijazinduliwa ni wabishi kinoma labda fimbo sasa zihusikeMkuu kitengo ni muhimu kwa ajili ya public. Nft ikekuaje? Nakumbuka ITV kipindi cha wajasiliamali kama sio kile cha mchana mahojiano kinachokua live alikujaga anty mmoja pale wakajadili cypto na nft muda ule nft ndo imeanza mi kwa akili za kawsida tu nikasema hapa kwenye nft hakuna kitu mapema sana.
Kitengo ni muhimu sana ila tu kiganye kazi kweli, kungekua na kitengo naamini hata hizi kina lbl , kaylinda na ndugu zao zisingepita na wananchi wengi
Bado nipe ajira bilioneaavp ushaingia kibaruani ndugu bilionea
basi fanya kazi kwa bidii bilionea akuna ela ya kubonyezaBado nipe ajira bilioneaa
Browsing Jamiiforums is not free either.Nothing is free in this world. There is always a price to pay covertly or overtly.
Mfano misaada kupitia USAID sasa Trump na Elon Musk wana wasanua what was going on behind the curtain.
Supply ikiwa kubwa kuliko demand inakuaje?
Una bitcoin ngapi mkuu ulizo hol
Wewe kwenye crypto una project gani? kama sio kubonyeza Buy and sell na ujikuta mjuaji mjinga..basi fanya kazi kwa bidii bilionea akuna ela ya kubonyeza
Jamii forum ni blogging service haina financial return, PI CLAIMS to be financial service, your expecting a billion dollar return from your precious finger 🤣 🤣 🤣Browsing Jamiiforums is not free either.
Nothing is the one thing in life that is truly free.
Pi is not entirely free, there is some sort of cost involved, whether it be time, data and effort. Yes, No capital was invested, just tapping a button once in a while.
nlipofikia hutaweza kufikia kama akili yako ndio ya kusubiria free coins, utaendelea kuniona sana uku online its enoughWewe kwenye crypto una project gani? kama sio kubonyeza Buy and sell na ujikuta mjuaji mjinga..
Browsing Jamiiforums is not free either.
Nothing is the one thing in life that is truly free.
Pi is not entirely free, there is some sort of cost involved, whether it be time, data and effort. Yes, No capital was invested, just tapping a button once in a while.
Nikuonee ili iwejee akati ni mjinga tu. Acha kujipaisha ujingaanlipofikia hutaweza kufikia kama akili yako ndio ya kusubiria free coins, utaendelea kuniona sana uku online its enough