stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
kutoa taarifa zako online its the worst u can do, leo hii tiktok imefungwa marekan kisa kuchukua data, same same google, whatsapp zmefungwa china same same kisa kuchukua taarifa, na hizi kampuni znapigwa faini kubwa always wakijulikana wanachukua taarifa za watu: Russia fines Google more than entire world's GDPMkuu labda tufungue mjadala rasmi threat za ukusanyaji taarifa ni zipi, na kwanza ni taarifa gani hatari kukusanywa?
ila ni vile tuna mangombe amna haya ya kuyaeleza