Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Allegedly your important private personal info which could be used for fraudulent activities.
May be some time in the future, could lose your money earned from other hardwork apart from Pi crypoto currency.
Wanted to show you how people lose money by dealing with crypto currency coin mining if you are not careful enough to identify unsafe crypto currency blockchains.
Does it make sense now?
Do you seen any relation?
 
Mimi sikuwahi kuamini katika crypto currency, naona kama ni utapeli tu ulio ruhusiwa na serikali jaja ili kukusanya hela zisio na kazi dunia. Ni kama vile serikali zinavyo ruhusu utapeli wa casino au kubeti. Nia ya casino na kubet sio kufanya watu matajiri bali ni kukusanya hela ambazo zinaweza kutengeneza matajiri nje ya mfumo. Serikali zote dunian huwa hazipende matajiri wa nje ya mfumo kama kina Bin laden . Watu hao huwa ni hatari kwa serikali.
 
Allegedly your important private personal info which could be used for fraudulent activities.
May be some time in the future, could lose your money earned from other hardwork apart from Pi crypoto currency.
Personal info!! How do you know the bank is not selling your information? How about your network provider? Our information is already out there anyway. And besides nobody gives a phuck about my info.
 
Personal info!! How do you know the bank is not selling your information? How about your network provider? Our information is already out there anyway. And besides nobody gives a phuck about my info.
hakuna anaeruhusiwa kuuza info zako kama sio skama, hahaha no one gives eeeh, sku ukipokea mshtuko wa kukaushia kila kitu benk utashika adab, so unaona marekan hawana akili kusumbuana na tiktok kisa data eeeh 🤣 🤣

Pi mane mane PI
 
si ndo ivo 🤣 🤣 , wakati mo dewji anaamka saa kumi usiku anaamka saa kumi usiku anaenda kweye viwwanda vyake alafu anarudi saa saba usiku mwana Pi anafungua app anaclick MINE alafu wote wanakua mabilionea 🤣🤣
Kuna mwingine tahira unaambiwa alisanili kampuni , akajiregister globy(B2B), export hub, African food changemakers akaanza kuwaeleza wenzake yeye ni bilihoneya ajae , sijui alipotelea wapi
 
Kuna mwingine tahira unaambiwa alisanili kampuni , akajiregister globy(B2B), export hub, African food changemakers akaanza kuwaeleza wenzake yeye ni bilihoneya ajae , sijui alipotelea wapi
🤣🤣🤣 oyaa sio poa vijana wamekataa kabisa kufuata sheria za uchumi wnaishi kwa matumaini saaahv
 
Personal info!! How do you know the bank is not selling your information? How about your network provider? Our information is already out there anyway. And besides nobody gives a phuck about my info.
Bilihoneya wa kijiji huyu
 
Kuna mwingine tahira unaambiwa alisanili kampuni , akajiregister globy(B2B), export hub, African food changemakers akaanza kuwaeleza wenzake yeye ni bilihoneya ajae , sijui alipotelea wapi
ebu mtafute billiionea bna awekeze nchi inamuhitaji aje akiclick button pesa ziingie nchini
 
🤣🤣🤣 oyaa sio poa vijana wamekataa kabisa kufuata sheria za uchumi wnaishi kwa matumaini saaahv
Kila platform wanayoiona wanajua washafika kimataifa , kwenye platform hizohizo ukienda kuwatafuta matajiri wakubwa WA hata Tanzania hauwezi kuwakuta
 
Kila platform wanayoiona wanajua washafika kimataifa , kwenye platform hizohizo ukienda kuwatafuta matajiri wakubwa WA hata Tanzania hauwezi kuwakuta

unawaona mabilionea, MC alikimbia baada ya open network
 
hakuna anaeruhusiwa kuuza info zako kama sio skama, hahaha no one gives eeeh, sku ukipokea mshtuko wa kukaushia kila kitu benk utashika adab, so unaona marekan hawana akili kusumbuana na tiktok kisa data eeeh 🤣 🤣

Pi mane mane PI
Didn’t Tigo Tz give out Lisu’s info?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…