Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Daaaah nimeliwa. Mpaka sasa nina 5,000pi, 1980pi tayari iko migrated kwenye wallet na bado nachimba. Hii taarifa imeninyong'onyesha sana.
 
ivi tafauti yenu na LBL ni nn maana na nyie kazi yenu kuangalia matangazo 🤣
matangazo hayakua lazima kuyaangalia na wengi waliya switch Off.
Sasa sijui unazungumzja matangazo yapi wakati kuna sehemu ya ku disable!

Mimi ubishi na watu ndugu yangu huwa siwezagi! hasa kwa kitu ambacho tunatofautiana ufahamu na uelewa
 
Daaaah nimeliwa. Mpaka sasa nina 5,000pi, 1980pi tayari iko migrated kwenye wallet na bado nachimba. Hii taatifa imeninyong'onyesha sana.
umeliwa kivipi? kama inawezekana nitumie hizo migrated alafu delete account yako maana kuna options pale kwenye profile.

wewe unawasikiliza hawa vichwa maji hawajui chochote
 
matangazo hayakua lazima kuyaangalia na wengi waliya switch Off.
Sasa sijui unazungumzja matangazo yapi wakati kuna sehemu ya ku disable!

Mimi ubishi na watu ndugu yangu huwa siwezagi! hasa kwa kitu ambacho tunatofautiana ufahamu na uelewa
huezi yazima forever yale ukiswitch off after some time unaanza kuyaona tena
 
Daaaah nimeliwa. Mpaka sasa nina 5,000pi, 1980pi tayari iko migrated kwenye wallet na bado nachimba. Hii taarifa imeninyong'onyesha sana.
Endelea kuchimba ndio ubilionea wenyewe
 
🤣 🤣 🤣 mabilionea wavivu au sio
Hao ni wehu wanaotembea siku moja nilijaribu kuangalia kama Azania , Azam , Mo kama wako kwenye masoko mtandao sikuwakuta , nikamcheki vunjabei kama Yuko kwenye masoko mtandao sikumkuta nikajiridhisha hawa wajinga wanaopagawa na platform mbalimbali ni wendawazimu , maana kajitu hakana production , hakana kiwanda , nako kapo mbele kama kisimi nikajua hii mijinga kweli , nikakuta kuna watu wa West Africa wengi nikajua tayari matahira lazima yapigwe tu
 
wewe na wale vijana wa zumarudi mna tafauti?
Hao watu wa pi ni wendawazimu dunia nzima haina mfumo wa kumtajirisha mtu kizembe check akina Amani, musk wote hutowakuta huko Sana utawakuta masoko ya hisa hao sio wajinga Wana real investments na daily Wana hustle kupata tenda mbalimbali sasa hii mijinga inayoshoboka kizembe Acha ipigwe kwani wale ndugu wa bitcoin ushawaona wamepata ubilionea ? Maana kila siku wanalia tu
 
wew
kwahio mpaka sasa utakua bilionea si ndio? si ulikua unajua price ni laki 3 ukatuona mazoba, si ndio ndugu bilionea
wewe jamaa tukiendelea kubishana na mimi nitaonekana mjinga! Ishu ni kukupuuzia tu
 
Pesa ni matokeo ya kufanya kazi kwa bidii, kua mbunifu , kutatua matatizo katika jamii, tofauti na hapo ukiona unaitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursa ya waliokuita, fursa sio rahisi kiasi hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…