Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho.

McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo wa kutengeneza pesa nyingi kuliko Mungu, akiwa na Lockheed Martin kwasabu ya kutengeneza black software, Kwa wale msiofahamu kuhusu black software, black software ni zile software unazopewa task utengeneze lakini haziko public available, na Wala hauwezi kuwa na ruhusa ya kusema in public ulitengeneza software Gani, mana ukianza tu kuzigusia hata Kwa uchache ktk public unakuwa ni national threat, mwisho wa siku inabidi wakuue.

McAfee alipiga pesa nyingi kwenye crypto sio kwasabu ya kutrade bali kumention coin ambazo watu wanunue na kuuza kwenye Twitter Kwa sasa X, alikuwa anapewa commission yake lakini wamiliki wa coin walipiga pesa ndefu kutoka Kwa raia au followers wa McAfee, mana walikuwa wanacheza na Liquidity.

Kwa wale ambao tunafuatilia Habari ndiomana tunaona black project ambazo wamezifanya USA kwenye Area 51, Kuna wanajeshi zimewasababishia kansa lakini wanachohitaji ni matibabu tu sio fidia, na hata uwaulize walikuwa wanafanya nini Area 51 hawawezi sema kwasabu ni classified project, na hata taarifa za kuthibitisha kwamba walishiriki haziwezi patikana kwasabu ni National interest,

Leo nataka niwaambie wale wote wanaomiliki Pi, kuwa Pi ni scam project haitompa mtu umilionea zaidi ya wamiliki kwasabu wamepiga pesa nyingi kwenye Ads na data mining, wamekusanya KYC na kuuza Kwa makampuni yanayohusika, hususani MeTa na Google.
Pi yaweza kuwa ni black project ya kukusanya taarifa zenu na kuweka malware kwenye simu zenu.

Crypto unahitaji elimu na sio ukurupukaji, ndiomana ma CEO wa Pi ni social engineers sio crypto enthusiast, kaangalie hata chuo alichosoma CEO wa Pi wame mremove kwenye bio ili wajiepushe na scam ambayo kesho mtaishuhudia.

Kama unaelewa crypto mining huwezi sema unamine Pi, ndiomana apps zote za mining play store walishagazitoa.

Watu wanafikiri pi itampiku BTC lakini haiwezi japokuwa BTC Kuna siku itakuwa na anguko kubwa pale watu watakapojifunza maana halisi ya privacy, kwasabu huwezi amini katika privacy na unatumia CeX (centralized exchanges) kama Binance, Coinbase n.k kwasabu ni trackable.

Bitcoin sio anonymous bado ni trackable kwahiyo naamini kizazi kijacho hakitoitumia Bitcoin kwasabu ni zero privacy.

Sasa vipi kuhusu Pi ambayo ni KYC based, haziko open source tujue wanafanya nini Wala Chochote, lakini wajinga wanaikumbatia na hususani wazee wa affiliate,
Niwaambie tu Pi haitofika hata 1$ ila itavanish

Sasa kesho tusubiri kuona crypto millionaire wa Pi Network waje hapa mana ni siku ya Mainnet.
Sasa kesho tusubiri kuona crypto millionaire wa Pi Network waje hapa mana ni siku ya Mainnet.🥺
 
Mliopotia huko mtupe update sh ngapi
1740059096206.png
 
Wakati mwingine ukiangalia bundle uliotumia sawa na helà unazoenda kupata loh
Haikuwa inakula bundle ilikuwa tu mtu anaingia kila baada ya 24 hours ana click mine basi hata akiwa hana bundle baaada ya kuclick mine haina shida atarudi tena baada ya 24 hours.
By the way imekaa kama pyramid scheme kuanzia kuwapa jina wahusika eti pioneers, hype zake za kiwack na wahusika wengi ni asia huko india, phillipines thailand china washasema ni pyramid scheme, africa hasa nigeria pia.
Bado app ilikuwa kila ukiingia kumine unatazama tangazo wakati project za mabilioni kama haya huwa zinakuwa na investors hazitegemea matangazo. Imagine walikuwa wanapata over 10 milions views per day walikuwa wanatengeneza pesa kiasi gani.
Mimi nahisi walianza wakaja na idea ya kupata views so wakaja na hii habari ya mining. Ndiyo maana uzinduzi ulihairishwa mara kadhaa. Baada ya kuona watu wanaongezeka ndipo wakaamua kabisa waanzishe coin. Ila mwanzo nahisi wazo lao ilikuwa kupata viewers wa matangazo
 
Haikuwa inakula bundle ilikuwa tu mtu anaingia kila baada ya 24 hours ana click mine basi hata akiwa hana bundle baaada ya kuclick mine haina shida atarudi tena baada ya 24 hours.
By the way imekaa kama pyramid scheme kuanzia kuwapa jina wahusika eti pioneers, hype zake za kiwack na wahusika wengi ni asia huko india, phillipines thailand china washasema ni pyramid scheme, africa hasa nigeria pia.
Bado app ilikuwa kila ukiingia kumine unatazama tangazo wakati project za mabilioni kama haya huwa zinakuwa na investors hazitegemea matangazo. Imagine walikuwa wanapata over 10 milions views per day walikuwa wanatengeneza pesa kiasi gani.
Mimi nahisi walianza wakaja na idea ya kupata views so wakaja na hii habari ya mining. Ndiyo maana uzinduzi ulihairishwa mara kadhaa. Baada ya kuona watu wanaongezeka ndipo wakaamua kabisa waanzishe coin. Ila mwanzo nahisi wazo lao ilikuwa kupata viewers wa matangazo
mjini akili
 
Na Leo wanahairisha hahahaa nipo kwa masawe nalamba mojamoto
 
Back
Top Bottom