snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
- Thread starter
- #81
Sasa wakati kama huu watu wanalia unasemaje pi inauzwa wakati haujauza ?Mkuu nikisema solana inauza haina maana mimi nimeuza. Mimi sijauza na wala sina mpango wa kuuza kwa sababu siwezi pata pesa ya maana. Ila hiyo mitandao niliyokutajia zinauzwa. Kuna dumping huko inaendelea na bila shaka wanaouza ndiyo mafounder soon itasoma 0