Sasa wakati kama huu watu wanalia unasemaje pi inauzwa wakati haujauza ?Mkuu nikisema solana inauza haina maana mimi nimeuza. Mimi sijauza na wala sina mpango wa kuuza kwa sababu siwezi pata pesa ya maana. Ila hiyo mitandao niliyokutajia zinauzwa. Kuna dumping huko inaendelea na bila shaka wanaouza ndiyo mafounder soon itasoma 0
ni app gan hiyo manHongereni wawekezaji
View attachment 3242692
Mkuu ukisoma white paper yao ililenga kila mtu aweze kuaccess hiyo crypto kwa kutokuhitaji kuwa na power intensive mining rigs. Tafsiri yao ya mining ni kuwa sehemu ya network na kuufanya uaminike maana thamani ya pi kwa maelezo yao itategemea kutumia na watu wengi.Mkuu pi ingekuwa mineable basi app yake usingeikuta playstore, pi inachokifanya ni entertainment mining, sio real mining, na inanisikitisha kama kweli wewe ni programmer unasema unamine
l
Unahesabu million 6 Kwa coin ambayo Ina market cap ya 0!!!!Pi 1,200 × 5,000 = Mpaka Sasa Nina 6 millions.
Sijatumia 10 kuzipata, mbs zangu zinazonifanya niingie Jamii forum ndo hizo hizo natumia sekundi 5 tu Kila siku ku mines then nakuja kupiga umbeya hapa... Sina hasara..!
Mimi siwezi kuhangaika kuuza pi 50 ambazo hazina thamani ya kueleweka.mimi nimeanza mine pi mwishoni mwa november baada iou price yake kunishawishi nikawaza nisije pitwa na train hivi hivi. Thou prediction ilikuwa iwe 70$ + ila mimi kuna threads kibao humu nlikuwa nabishana na watu kuwa haiwezi kuzidi 3$ na inaweza kuwq chini ya $1.Sasa wakati kama huu watu wanalia unasemaje pi inauzwa wakati haujauza ?
ungeuza kiasi kwenye 800 ungetoa 400 na mida ile price ilikua 2$ ungeibuka na 800$ weekend ingeenda murua kabisa...Ambazo naweza kuzitumia ni 800 na ambazo bado ni 1450.
Kwa sasa sijui ila ilikuwa 2 usd.
kwahiyo wale waliouza hawawezi kizitoa na kubadilisha kuwa Fiat?Unahesabu million 6 Kwa coin ambayo Ina market cap ya 0!!!!
Ina maana haipo hata kwenye stock exchange!!!!
Au ndo kama LBL, na TITMkuu we endelea tu kulima mahindi guy mchongo ukiujua utaingia mazima lakin aliekufundisha unaweza ukaja kumpiga panga
Unahesabu million 6 Kwa coin ambayo Ina market cap ya 0!!!
Brother, pi Leo ilianza n as
Pi Leo ilianza kuwa trade Kwa 1 pi = 1 $ ikapanda mpaka $ 1.5 ikafika mpaka $ 2 ...!Unahesabu million 6 Kwa coin ambayo Ina market cap ya 0!!!!
Ina maana haipo hata kwenye stock exchange!!!!
Unahesabu million 6 Kwa coin ambayo Ina market cap ya 0!!!!
Ina maana haipo hata kwenye stock exchange!!!!
Hasa bidhaa ukiona hamna wanunuzi fahamu ni scamKila mtu anawaza kuuza wanunuzi hakuna 😂
Ziko hold hadi october mwaka huuZote zimaweza kuuzwa au baadhi ziko kwenye hold?
Hata kama ingekua dollar 100, Bado market cap inasoma 0, unajua maana yake?Pi Leo ilianza kuwa trade Kwa 1 pi = 1 $ ikapanda mpaka $ 1.5 ikafika mpaka $ 2 ...!
Record ambayo pi imeanza nayo, hakuna Crypto coin nyingine ilowahi kufika Kwa siku ya kwanzakwanza.