snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
- Thread starter
- #21
Dah umensanua kuna mchongo wa hela ndefu ilikuwa nataks niupige alafu mshko ote uwepo bitcins kwa kuamin ni untreasable kumbe nlikuwa najidanganya mwenyewe
Tumia monero, Bitcoin watakupata, watusubiri mpaka unapokuja kuexchange into cash/FIAT.
Na usitumie Centralized exchanges kama Binance, Coinbase n.k, Wala trust wallet mana ni Binance nayo.