stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jumla ya supply ni 100b iliopo ni circulating supplyMimi total supply yake tuu inaniacha na kicheko bilioni6 sijui 7,, nyingi mno ni mwendo wa akina doge na wenzake wenye supply kubwa kufika bei nzr ni mtihani
Going, going and going.....
Mimi total supply yake tuu inaniacha na kicheko bilioni6 sijui 7,, nyingi mno ni mwendo wa akina doge na wenzake wenye supply kubwa kufika bei nzr ni mtihani
Supply kubwa sanajumla ya supply ni 100b iliopo ni circulating supply
yaaani apo kutoboa sjui miujiza gan ifanyike
Si Kila kazi ni lazima kutoa jasho jamani, kuna zingine akili tu nguvu kidogo, nawalaumu sana watu wanaodandia Crypto bila ujuzi wowote, hawa wanalizwa kila siku kwa kupotezewa muda.Wajinga ndo waliwao aise hakuna easy money bila kutoa jasho
Nifundishe plzHatimaye ipo kwa hewa sasa, full kuchekelea. Mimi nilisema hata kama ni uongo acha ni mine tu kikubwa silipii. Leo nawacheka 😁😁😁
Nifundishe na mmPioneers tunapeana moyo kwamba tunahold zitapanda mazee tunasema kuwa hata bitcoin ilianza less than a dollar
Kijana tafuta kazi fanya hakuna pesa nyepesiNifundishe plz
Wanapoteza mda chiep money hakuna labda kuliwa kibogaPI 1 =300,000/=
Nikapiga hesabu za hovyo tu kwamba mtu awe na pi 100, hiyo ni 30m.
Kuna group lina watu 400+ ambapo mwenye pi chache sana ana hizo 100.
Bilioni 12 zitoke kimchezomchezo tu!!
kwahio kwenye group pale maskini kabisa ana bil 12PI 1 =300,000/=
Nikapiga hesabu za hovyo tu kwamba mtu awe na pi 100, hiyo ni 30m.
Kuna group lina watu 400+ ambapo mwenye pi chache sana ana hizo 100.
Bilioni 12 zitoke kimchezomchezo tu!!
Unahesabu million 6 Kwa coin ambayo Ina market cap ya 0!!!!
Ina maana haipo hata kwenye stock exchange!!!!
Wa bongo na mautaperi kibao, miujiza feki, na madudu mengine,Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho.
McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo wa kutengeneza pesa nyingi kuliko Mungu, akiwa na Lockheed Martin kwasabu ya kutengeneza black software, Kwa wale msiofahamu kuhusu black software, black software ni zile software unazopewa task utengeneze lakini haziko public available, na Wala hauwezi kuwa na ruhusa ya kusema in public ulitengeneza software Gani, mana ukianza tu kuzigusia hata Kwa uchache ktk public unakuwa ni national threat, mwisho wa siku inabidi wakuue.
McAfee alipiga pesa nyingi kwenye crypto sio kwasabu ya kutrade bali kumention coin ambazo watu wanunue na kuuza kwenye Twitter Kwa sasa X, alikuwa anapewa commission yake lakini wamiliki wa coin walipiga pesa ndefu kutoka Kwa raia au followers wa McAfee, mana walikuwa wanacheza na Liquidity.
Kwa wale ambao tunafuatilia Habari ndiomana tunaona black project ambazo wamezifanya USA kwenye Area 51, Kuna wanajeshi zimewasababishia kansa lakini wanachohitaji ni matibabu tu sio fidia, na hata uwaulize walikuwa wanafanya nini Area 51 hawawezi sema kwasabu ni classified project, na hata taarifa za kuthibitisha kwamba walishiriki haziwezi patikana kwasabu ni National interest,
Leo nataka niwaambie wale wote wanaomiliki Pi, kuwa Pi ni scam project haitompa mtu umilionea zaidi ya wamiliki kwasabu wamepiga pesa nyingi kwenye Ads na data mining, wamekusanya KYC na kuuza Kwa makampuni yanayohusika, hususani MeTa na Google.
Pi yaweza kuwa ni black project ya kukusanya taarifa zenu na kuweka malware kwenye simu zenu.
Crypto unahitaji elimu na sio ukurupukaji, ndiomana ma CEO wa Pi ni social engineers sio crypto enthusiast, kaangalie hata chuo alichosoma CEO wa Pi wame mremove kwenye bio ili wajiepushe na scam ambayo kesho mtaishuhudia.
Kama unaelewa crypto mining huwezi sema unamine Pi, ndiomana apps zote za mining play store walishagazitoa.
Watu wanafikiri pi itampiku BTC lakini haiwezi japokuwa BTC Kuna siku itakuwa na anguko kubwa pale watu watakapojifunza maana halisi ya privacy, kwasabu huwezi amini katika privacy na unatumia CeX (centralized exchanges) kama Binance, Coinbase n.k kwasabu ni trackable.
Bitcoin sio anonymous bado ni trackable kwahiyo naamini kizazi kijacho hakitoitumia Bitcoin kwasabu ni zero privacy.
Sasa vipi kuhusu Pi ambayo ni KYC based, haziko open source tujue wanafanya nini Wala Chochote, lakini wajinga wanaikumbatia na hususani wazee wa affiliate,
Niwaambie tu Pi haitofika hata 1$ ila itavanish
Sasa kesho tusubiri kuona crypto millionaire wa Pi Network waje hapa mana ni siku ya Mainnet.
LahaulaaMi nilivyoona soko la mwanjelwa eti unaweza ukanunua ndizi kwa Pi , nikajua tu hapa hamna kitu!