Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

[emoji38][emoji38][emoji38]Mimi huyoo kabisaa yaaani live sitii neno ntakaa kimyaaaa,ukiwa mbaali Sasa![emoji119][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji125][emoji125][emoji3526][emoji3526]
Huwa nachimba biti, utarudi tu kmmmk ntakuonesha 😂😂😂 af simuoneshi kitu akija hasira zinakuwa zishaisha.
 
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
We ulihisi mama mshamba wakati anakuchana ikiwa yeye wanawake wenzie anawajua tabia? 😂😂😂! Mwanamke mwenye matamaa na kupenda luxury sio wa kuoa.
 
Kafara au nn mzee?
Mtoto anaonekana alikuwa "windo" la wakware
Mimi mke wangu nilikua nampenda sana tena sana, mapenzi yasikieni tu, tukabahatika kupata watoto wawili. Wa kwanza nikaona mapicha picha, wa pili mimi mtupu. Nikasema nikajiridhishe DNA nilichokutana nacho na roho ilivyoniuma nilitamani kuua ila nikaishinda nafsi nikaapa sitampiga au kumgusa kwa chochote mpaka leo mwaka wa3, sijawahi mpigia simu wala kupokea simu yake nawasiliana na dada wa kazi kwa mahitaji ya mtoto la sivyo ningeozea jela bure bure kabisa. Nimemuachia Mungu atamfundisha dunia. Maumivu ya kuzalishiwa au kupigiwa mke yasikieni kwenye mitandao wandugu. Usipokua timamu mwili wa marehemu huu hapa
Ulikuta wa kwanza umebambikiwa au sio 😂😂😂
 
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
Mmmmhhh aiseeee hii ngumu kumeza...
Ujue mara nyingine sisi ni kama mapepo makubwa makubwa.
 
GBV ni issue kwelikweli. Wenzetu majuu huko ikijulikana ushawahi abuse mtu ni scandal kubwa. Wanawake wanaofanyiwa hivi vitu wapaze sauti kabla haijafikia majanga namna hii. Huyu kolo anaonekana ni abuser wa muda mrefu sema marehemu hakuchukua hatua
Unaoa mwanamke mweupe wakati unajijua una wivu. GBV haiwezi kukuacha salama.
 
Kuna tatizo pahala, oa mke mwema, soma tabia zake, mwisho Ili kupata mke mwema tengeneza Sheria zako ukiona huyu ndo mwema mpe Sheria kama ataziweza na kama hawezi apite njia, hiyo ya kelele wewe usiwe nayo na yeye pia maana Kuna wengine wanaoa wake wema wao wanageuka majanga zile Sheria asizopenda kufanyiwa anamfanyia mwenza wake, munatupa shida sana kulalamika kwa maamuzi yenu ya kuoa vituko.
Mke mwema hatokei Dar kaka mkubwa, hapa kuna wafanyabiashara wengi ambao hawana quality ya wake. Kingine mtu unajijua una wivu halafu unaoa janamke ambalo kila mtu hawezi kuacha kulitongoza hio akili sijawahi kuielewa kabisa.
 
Mkono wangu mwepesi knm aisee. Hafu nina hasira za fasta. Nishawahi mkaba demu flani. Aisee, hadi leo najioneaga aibu. Siku hizi nikigombana nakimbia naacha ghetto narudi baadae nimepoa kdg. Naogopa kweli.
Unamkaba kwani alikuibia??? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ulihisi mama mshamba wakati anakuchana wakati yeye wanawake wenzie anawajua tabia? 😂😂😂
Sasa imebaki majuto ni mjukuu, kuna siku ningeishia sero, ilinaki kidogo nimtoboe toboe na mkasi uliokuwa mezani. Mzee wangu mmoja anagonga mlango hodi, kungia namuona kaongozana na balozi. Kesi inaibuka, anamdai mke wangu zaidi ya 2M. Alipokuwa anafanya biashara alikuwa anaenda kuchukua malighafi kwenye duka la jumla la huyu mzee. Mzee mwenyewe alikuwa ananiamini sana na ndiye aliyenipokea ofisini na kunisaidia pia kwenye biashara, mashamba na ushauri mwingine kibao.

Huyu mzee alikuwa ananiamini sana, so wife anachukua malighafi kwa mali kauli, huku nyuma ananipanga namtumia hela ya kumuongezea mtaji, kumbe madeni lukuki. Namuomba mzee wangu arudishe moyo nyuma, nampa nusu ya pesa na kumuahidi nyingine mwisho wa mwezi. Siku si nyingi nawaona VICOBA wamefika, wanadai 4.9M, nauliza alikopa za nini na mimi akunishirikisha, anasema huoni vitu nivyofanya! nauliza umefanyia nini? Nawaambia VICOBA siutambui huo mkopo na sikushirikishwa.

Hayo yote yamebaki historia, adabu imerudi, hagusi hata shilingi yangu moja, amekuwa mama house 100% na mahitaji yote anapata. Nabaki kuwaza, siku nikizima, watoto watapoteza mwelekeo jumla, kwani huyu ni mwanamke asiyejitambua. Nabaki kuomba japo niwepo hata kwa miaka kadhaa ijayo niwasogeze watoto kielimu.
 
Huyo alifata hela sio mapenzi, trend ni ndefu ya wanawake waliofuata hela kwa wanaume zao.
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
 
Sasa imebaki majuto ni mjukuu, kuna siku ningeishia sero, ilinaki kidogo nimtoboe toboe na mkasi uliokuwa mezani. Mzee wangu mmoja anagonga mlango hodi, kungia namuona kaongozana na balozi. Kesi inaibuka, anamdai mke wangu zaidi ya 2M. Alipokuwa anafanya biashara alikuwa anaenda kuchukua malighafi kwenye duka la jumla la huyu mzee. Mzee mwenyewe alikuwa ananiamini sana na ndiye aliyenipokea ofisini na kunisaidia pia kwenye biashara, mashamba na ushauri mwingine kibao.

Huyu mzee alikuwa ananiamini sana, so wife anachukua malighafi kwa mali kauli, huku nyuma ananipanga namtumia hela ya kumuongezea mtaji, kumbe madeni lukuki. Namuomba mzee wangu arudishe moyo nyuma, nampa nusu ya pesa na kumuahidi nyingine mwisho wa mwezi. Siku si nyingi nawaona VICOBA wamefika, wanadai 4.9M, nauliza alikopa za nini na mimi akunishirikisha, anasema huoni vitu nivyofanya! nauliza umefanyia nini? Nawaambia VICOBA siutambui huo mkopo na sikushirikishwa.

Hayo yote yamebaki historia, adabu imerudi, hagusi hata shilingi yangu moja, amekuwa mama house 100% na mahitaji yote anapata. Nabaki kuwaza, siku nikizima, watoto watapoteza mwelekeo jumla, kwani huyu ni mwanamke asiyejitambua. Nabaki kuomba japo niwepo hata kwa miaka kadhaa ijayo niwasogeze watoto kielimu.
Dah mkuu pole sana una kibarua kizito, mie kwangu kigezo namba moja kilikuwa akili ila pili kujitoa. I never had money when i began dating her ila she always took care of herself. Hii ilinipa highest degree of confidence kuwa nimepata ambacho nilikuwa nakitaka. Sikuwa napenda type za wale wa "mwanaume lazma anihudumie" sababu wengi ni wanafiki huwa wanakuwa na mtu sababu ya kitu na wengi wabinafsi sana.

Nikiwa sina kama ninacho na nikiwa ninacho kama ninacho tu. Same degree of respect no compromises. She is hardworking with less demands and well focused. Kama itatokea sintofahamu mbeleni basi itakuwa bahati mbaya au kuna mkono wa mtu ila atleast i did my part ku filter character nzuri nazozitaka kwa mke. I believe she will make a good mother hata siku nikiwa sipo.

Nakuonea huruma wewe tu sema approach uliotumia ni nzuri kwa sasa ili aweze kutulia. Kata mirija yote abakie analea by 100%!
 
Yawezekana kabisa mkuu, alafu wengine wamekuwa wezi kuliko hata hawa wanawake tunaokutana nao mitaani. Yaani mpaka unawaza kama kweli mlioana kwa nia ya kujenga familia au la. Yaani asione pesa mbele yake, unaweka mitego na unamnasa anakwambia nimechukua kidogo tu nilikuwa na shida nayo, na hapo umetoka kumpa hela na biashara umemfungulia.

Nimewahi kushangaa diku moja askari wananifuata kitaa, naambiwa natakiwa kituoni, kufika nawekwa selo hadi kesho yake mchana. Nawauliza kosa ni nini na kwa nini niko hapa, naambiwa utajua kesho. Inafika keho yake mchana wife kafika, napelekwa dawati la jinsia, na shauri linasikilizwa. Naambiwa siuudumii familia, napigwa na butwaa, na mshangao kabisa, anadai anataka ATM kadi yangu,nakumbuka niliwahi kumwachia kadi hiyo nikiwa masomoni nje kwa takribani miaka miwili na nikakuta hakuna hata balance. Usafiri nimemnunulia, mafuta naweka mimi, watoto shule wanasoma nzuri kabisa. yeye mwenyewe nimempeleka shule na ajira nimemtafutia, ameacha ajira anataka bishara. Biashara imemshinda kutwa ni kubadilisha nguo na style za nywele. Natoka selo mchana wa saa nane, napokea simu toka kwa HR, ananambia brother nini tena kimetokea! Mkeo kaja hapa anataka mgawane mshahara 50/50, Naona huyu sasa ana mental kesi au karogwa.

Nikaamua kuondoka nianze maisha mapya, mzee wangu mmoja akanishauri nisiondoke. Akasema kata mirija yote ya pesa na adabu itarudi, kukimbia familia ni laana kwa mila zetu. Nikakata mirija, biashara imecolapse, gari mafuta na hata aservice hakuna. Familia natoa mahitaji yote ya muhimu, ngumu kumeza nikapunguza kabisa. Kwa sasa adabu inarudi na sitorudi nyuma.

Kuna baadhi ya wanawake ni pasua kichwa kwelikweli. unamwambia ondoka ukapumzike kwenu anagoma. Mama mkwe anatetea binti yake balaa. Nayakumbuka maneno ya mama, miaka takribani 17 nyuma, akinikanya kuwa huyu unayemuoa atakusumbua. Nabaki kukumbuka na kusikitika sana.
Brother pole sana huyo mwanamke ana tofauti kubwa ya perspective na wewe. Yeye anaaamini unatakiwa kumuhudumia zaidi ya baba yake na hayo ndo majukumu yako. Wanawake wa hivyo wanasumbua sana chief pole sana kaka. Ila hongera mkuu kwa kupita hicho kipindi.
 
Mmmmhhh aiseeee hii ngumu kumeza...
Ujue mara nyingine sisi ni kama mapepo makubwa makubwa.
Kiufupi, ilinitoa kwenye reli ya kimaisha kwa miaka kadhaa. Kuna fursa nilizipata, nikazitumia vibaya kwa kumuamini mtu ninayeishi naye. Wapo wake za washikaji zangu wanajitambua sana. Mpaka nawaza, huyu angekuwa mke wangu ningekuwa mbali mara kumi ya hapa nilipo.
Brother pole sana huyo mwanamke ana tofauti kubwa ya perspective na wewe. Yeye anaaamini unatakiwa kumuhudumia zaidi ya baba yake na hayo ndo majukumu yako. Wanawake wa hivyo wanasumbua sana chief pole sana kaka. Ila hongera mkuu kwa kupita hicho kipindi.
Thanks mkuu, kweli heshima imerudi. Jamaa yangu mmoja alinifata akaniambia amejifunza mengi sana kwenye maisha yangu, anasema yeye asineweza hata kidoo kuvumilia. Sasa naamka asubuhi nakuta chai mezani, narudi napokelewa vyema na furaha ndani inarejea, Nakumbuka ni muda mfupi tu huko nyuma nyumba ilikuwa ni kizungumkuti.

Ila bado namlia timing asije badilika tena, hawatabariki sana hawa viumbe. Nikiona mtu kamuua mkewe, nakumbuka kuwa inachukua sekunde tu kutimiza hiyo dhamira. Naukumbuka ule mkasi ningeushika na kumtoboa, ningekuwa jela kwa sasa.
 
Mmmmhhh aiseeee hii ngumu kumeza...
Ujue mara nyingine sisi ni kama mapepo makubwa makubwa.
Kiufupi, ilinitoa kwenye reli ya kimaisha kwa miaka kadhaa. Kuna fursa nilizipata, nikazitumia vibaya kwa kumuamini mtu ninayeishi naye. Wapo wake za washikaji zangu wanajitambua sana. Mpaka nawaza, huyu angekuwa mke wangu ningekuwa mbali mara kumi ya hapa nilipo.
Dah mkuu pole sana una kibarua kizito, mie kwangu kigezo namba moja kilikuwa akili ila pili kujitoa. I never had money when i began dating her ila she always took care of herself. Hii ilinipa highest degree of confidence kuwa nimepata ambacho nilikuwa nakitaka. Sikuwa napenda type za wale wa "mwanaume lazma anihudumie" sababu wengi ni wanafiki huwa wanakuwa na mtu sababu ya kitu na wengi wabinafsi sana.

Nikiwa sina kama ninacho na nikiwa ninacho kama ninacho tu. Same degree of respect no compromises. She is hardworking with less demands and well focused. Kama itatokea sintofahamu mbeleni basi itakuwa bahati mbaya au kuna mkono wa mtu ila atleast i did my part ku filter character nzuri nazozitaka kwa mke. I believe she will make a good mother hata siku nikiwa sipo.

Nakuonea huruma wewe tu sema approach uliotumia ni nzuri kwa sasa ili aweze kutulia. Kata mirija yote abakie analea by 100%!
Ila mkuu, naweza kumlaumu wife kwa kiasi fulani, ila na mimi mwanzoni nilichangia yeye kubadilika tabia na attitude yake. Nilimuoa tayari nikiwa mkubwa kwenye taasisi fulani kubwa tu, alikuwa very humble na asiye na makuu. Na nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mahusiano, akiwa mwaka wa kwanza chuo fulani. Hilo lilinifanya nijione nina deni kubwa sana kwake, na nikaamua kumtreat kwa namna ya kipekee. Nilimrudisha shule na hakuna alichokuwa anakosa. Hili lilimfanya abweteke sana na kuona maisha ni mteremko sana.
 
Dah mkuu pole sana una kibarua kizito, mie kwangu kigezo namba moja kilikuwa akili ila pili kujitoa. I never had money when i began dating her ila she always took care of herself. Hii ilinipa highest degree of confidence kuwa nimepata ambacho nilikuwa nakitaka. Sikuwa napenda type za wale wa "mwanaume lazma anihudumie" sababu wengi ni wanafiki huwa wanakuwa na mtu sababu ya kitu na wengi wabinafsi sana.

Nikiwa sina kama ninacho na nikiwa ninacho kama ninacho tu. Same degree of respect no compromises. She is hardworking with less demands and well focused. Kama itatokea sintofahamu mbeleni basi itakuwa bahati mbaya au kuna mkono wa mtu ila atleast i did my part ku filter character nzuri nazozitaka kwa mke. I believe she will make a good mother hata siku nikiwa sipo.

Nakuonea huruma wewe tu sema approach uliotumia ni nzuri kwa sasa ili aweze kutulia. Kata mirija yote abakie analea by 100%!
Okay kumbeee.......
Hii approach yako nahisi ndy inayotumika kwangu..
 
Kiufupi, ilinitoa kwenye reli ya kimaisha kwa miaka kadhaa. Kuna fursa nilizipata, nikazitumia vibaya kwa kumuamini mtu ninayeishi naye. Wapo wake za washikaji zangu wanajitambua sana. Mpaka nawaza, huyu angekuwa mke wangu ningekuwa mbali mara kumi ya hapa nilipo.

Ila mkuu, naweza kumlaumu wife kwa kiasi fulani, ila na mimi mwanzoni nilichangia yeye kubadilika tabia na attitude yake. Nilimuoa tayari nikiwa mkubwa kwenye taasisi fulani kubwa tu, alikuwa very humble na asiye na makuu. Na nilimpa ujauzito tukiwa kwenye mahusiano, akiwa mwaka wa kwanza chuo fulani. Hilo lilinifanya nijione nina deni kubwa sana kwake, na nikaamua kumtreat kwa namna ya kipekee. Nilimrudisha shule na hakuna alichokuwa anakosa. Hili lilimfanya abweteke sana na kuona maisha ni mteremko sana.
Ni kwamba uliamua kumdekeza sana bila kujua ndio unamuharibu? Thats already a mistake umempa confidence kuwa anaweza fanya ujinga wowote utalipia sababu hela unazo tu 😂😂😂!

Acha akae home tu aisee kazi si aliacha mwenyewe, sema jitahidi kuficha hela. Kila siku aone mambo yako sio mazuri ili uweze kum control vyema.
 
Okay kumbeee.......
Hii approach yako nahisi ndy inayotumika kwangu..
Hutajuta mkuu kwa hakika, mwanamke anaeweza kujitoa kwako Genuinely ana kila sababu ya kuwa mkeo na atafanya vyema kwenye hio nafasi kama ana akili za kujiongeza pia kuchanganua maisha. Hivi vitu lazima viende sawa.

Wanawake wanaotegemea kupewa pewa hela hawafai kabisa. Siku ukiwa huna anakusaliti fasta maana anaona humstahili au ukimpa kidogo haridhiki anaona anastahili zaidi inshort anakuwa hana shukurani na wengi wa hivi hawanaga akili za kuchanganua maisha. Anakuwa yupo kama parasite tu ha add value kwenye maisha yako.

Tuwaepuke sana.
 
Wanawake midomo yao ndo uwaponza
Kwa hiyo umesha-conclude mkuu? Physical violence si busara na wala haina sehemu kwenye jamii iliyostaarabika.

Serikali izidi kukaza sheria ziwe kali kukabiliana na mifumo kandamizi. Kama hamuelewan kabisa basi part ways.
 
We uoni ajali za kizembe nyingi.
Makahaba na michepuko pekee ndio wanawake wanaozingatia mafunzo ya ndoa na kuyatumia kupora wanaume za watu.
Mwanamke akishapata cheti cha ndoa na watoto kinachofuata ni bidii ya kuibomoa ndoa.
Ile mwanaume akiwa na michepuko na physical violence anajenga ndoa? Don't be biased.

Behaviour ya mtu ni very subjective.
 
Back
Top Bottom