PICHA: Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kilichojengwa Kibaha, Pwani

PICHA: Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere kilichojengwa Kibaha, Pwani

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Chuo cha uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha mkoani Pwani kilianzishwa kuhudumu kwenye nchi za kusini mwa Afrika na kupewa jina la Mwalimu Nyerere kama heshima ya kuongoza mapambano ya kutafuta uhuru kusini mwa Afrika.

Chuo cha Mwalimu Nyerere ni juhudi ya pamoja kwa vyama sita vya ukombozi kusini mwa Afrika ambavyo kwa sasa ni vyama tawala ambapo nchi zao kupata uhuru ulisaidiwa na Nyerere pamoja na OAU ambavyo vilipewa hifadhi nchi Tanzania.

Vyama hivyo ni Chama Cha Mapinduzi (CCM), African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini, People’s Movement for the Liberation of Angola (MPLA) na South West African People’s Organisation (SWAPO) cha Namibia, Zimbabwe African National Union–Patriotic Front (ZANU-PF) na Mozambique Liberation Front (FRELIMO)

IMG_20220219_214120_648.jpg

IMG_20220219_214118_228.jpg
IMG_20220219_214116_231.jpg
IMG_20220219_214113_746.jpg
IMG_20220219_214111_420.jpg
IMG_20220219_214109_244.jpg
IMG_20220219_214106_267.jpg
IMG_20220219_214104_053.jpg


The Mwalimu Nyerere Leadership School is being established in Tanzania to serve southern Africa in honour of the late founding President and former chairperson of the Frontline States.

The leadership college is a joint effort of six liberation movements from the Southern African Development Community (SADC), who are now governing parties, and whose countries gained independence with the support of Nyerere and the Organisation of African Unity (OAU) Liberation Committee that was hosted by the United Republic of Tanzania.

The six liberation movement parties are Tanzania`s Chama Cha Mapinduzi (CCM), African National Congress (ANC) of South Africa, the People’s Movement for the Liberation of Angola (MPLA), and the South West African People’s Organisation (SWAPO) of Namibia, the Zimbabwe African National Union–Patriotic Front (ZANU-PF) and the Mozambique Liberation Front (FRELIMO).

A colourful ground-breaking ceremony for the construction of the school was held in Kibaha, Coastal Region, near Dar es Salaam in 2018. The parties were represented at the function by their respective secretaries-general who took up shovels to prepare the ground.

They will work together to establish the Mwalimu Nyerere Leadership School, with support from China. The government of Tanzania provided the land.

Mwalimu Nyerere leardeship school.jpg

Jiwe la msingi-July 2018​
 
Kajamba nani mtaruhusiwa humu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Usiku mwema wadau [emoji3578]
 
tukasome kwa kingereza halafu tuje kuongoza kwa uswahili mwingi...

non sense
Traits za Uswahili zimeiharibu hii nchi, yaani kona za kuhama kutoka kusifia Urais wa Kikwete, na Kuelekea Kuusifia wa Magufuli, kisha kupinda kwenda kwa Urais Samia, khaa, balaa. Hata CCM kumewapindua, Kabudi, Lukuvi, Ndugai, Kalemani, Sabaya, Makonda, Chalamila etc, Ila Waswahili wamewazidi Washambanyikani kwa kiwango kisicho na aibu!
 
Hicho chuo..kinaenda kufundisha mafisadi waliopo na wajao..kuhusu propaganda na jinsi ya kusaini mikataba ya kina chief mangungo.

Katiba huru ni hitaji la wananchi sio watawala

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom