lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Nigetamani hicho chuo kiwe Cha Mambo ya technolojia au masuala ya uhandisi wa magari n.k
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala yake kinakuwa chuo cha kufundisha sarakasi za ccmNigetamani hicho chuo kiwe Cha Mambo ya technolojia au masuala ya uhandisi wa magari n.k
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3]Badala yake kinakuwa chuo cha kufundisha sarakasi za ccm
CCMMitaala ya hapo ikoje?
Hongera awamu ya sita.
Vipi umasikini wa kipato, ajira na maendeleo ya watu?? Mfano wewe kwa mwaka unaingiza sh ngapi?Tuacheni utani Tanzania inabadilika sana...kazi inapigwa hasa..
Hongereni. Falsafa ya Mwalimu ndiyo dira ya Tanzania, kama China na Mao wao! Ila Elimu ya wengi wenye maoni Yao hapa, ni ya kuwapotosha TU, kwamba ni chuo Cha CCM!Chuo cha uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha mkoani Pwani kilianzishwa kuhudumu kwenye nchi za kusini mwa Afrika na kupewa jina la Mwalimu Nyerere kama heshima ya kuongoza mapambano ya kutafuta uhuru kusini mwa Afrika.
Makamanda uchwara lini mtajenga chuo cha uongozi wa ufipa?Badala yake kinakuwa chuo cha kufundisha sarakasi za ccm