Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Anaitwa Ali Bongo. Ni aliekuwa raisi wa Gabon ambae amepinduliwa jana na binamu yake mwenyewe.Ndiye Nani?
Nani kakuambia sasa hivi jamaa ni masikini?Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
Pamoja na hivyo lkn jamaa hawezi kuwa, vile alivyokuwa.Nani kakuambia sasa hivi jamaa ni masikini?
Watoto wa mjini wanasema "tatizo nyota" mkuu!Kuna yule jamaa anaitwa "Muhasibu wa daladala" alikuwa kondakta sasa kapata kazi pale efm kwa Majizzo anakula pesa yaani kiutani utani tu .!
Sasa huyu Mwamba ni masikini?wanamiliki apartments France na mapesa kibao.Huyo Binamu yake unadhani atamdhuru Ndugu yake,dhubutu!Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
Nimetolea tu mfano mkuu. Jamaa alikuwa mwili jumba, ona sasa alivyonyong'onyea kama muuza utumbo wa manzese.Mtu kupinduliwa ndiyo kua maskini?Aiseee...
Jamaa anachekesha Baba yake ametawala Gabon miaka 42 na alikuwa ana akaunti za fedha zaidi ya 70, magari ya kifahari kama Ferrari achilia mbali Apartments kibao uko France.Jamaa yeye katawala miaka 14,alafu useme mtu kama uyo ni Masikini.Nani kakuambia sasa hivi jamaa ni masikini?
Biya mchumba tu mbele ya Teodoro Nguema raisi wa Equatorial Guinea.Paul biya kwake network its loading
Ova
Ana stroke ni Mgonjwa!Nimetolea tu mfano mkuu. Jamaa alikuwa mwili jumba, ona sasa alivyonyong'onyea kama muuza utumbo wa manzese.
Yule Mzee mshenzi sana anamiliki mpaka Yatch za kifahari Ulaya!Biya mchumba tu mbele ya Teodoro Nguema raisi wa Equatorial Guinea.
Jamaa amekaa madarakani miaka 45, na bado anataka kugombea uchaguzi ujao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa mkuu.. sijui mheshimiwa M7 ana hali gani huko alipo.Ni fundisho kwa madikteta
Ni frustrations za muda mfupi tu,maisha yataendelea kama kawaida.Pesa za baba yake tu,hawezi kulimaliza.Hapo yupo kizuizini kwasababu akiachiwa,kunaweza kikatokea shida,hivyo wanamshikilia kwa muda.Nimetolea tu mfano mkuu. Jamaa alikuwa mwili jumba, ona sasa alivyonyong'onyea kama muuza utumbo wa manzese.