Picha: Hii ndo inaitwa unalala tajiri, unaamka masikini

Picha: Hii ndo inaitwa unalala tajiri, unaamka masikini

gabon-jpg.2734714

Ahhh
20141018_MAP004_0.jpg

def04253-190e-42b2-99a6-1caa8be97e98_899da97f-jpg.2734716
 
Madikteta wanajua mwisho wao, Gaddafi alikuwa na pesa nyingi, Airport ndege zipo tayari zinamsubiri yeye tu akiamua kutoroka anaenda lakini aliamua kufa na kuchomwa bayonet matakon*
Hahaha... kwa hali ilivyokuwa kipindi cha vita ya kumtoa Ghadafi kwa kweli asingeweza kutoroka kupitia njia ya anga, maana NATO na washirika wake tayari walikuwa wameshaifunga anga ya Libya kitu kilichomfanya ajaribu kutoroka kupitia njia ya chini.
 
Back
Top Bottom