SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Ahhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madikteta wanajua mwisho wao, Gaddafi alikuwa na pesa nyingi, Airport ndege zipo tayari zinamsubiri yeye tu akiamua kutoroka anaenda lakini aliamua kufa na kuchomwa bayonet matakon*Tatizo hajui na wala hafahamu kama mwisho wake waja.
Nakala kwa ccmMzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
View attachment 2734714View attachment 2734715View attachment 2734716
Hao wote wajiandaeNasikia M7 sasa hivi anaishi tumbo joto.
Hahaha... kwa hali ilivyokuwa kipindi cha vita ya kumtoa Ghadafi kwa kweli asingeweza kutoroka kupitia njia ya anga, maana NATO na washirika wake tayari walikuwa wameshaifunga anga ya Libya kitu kilichomfanya ajaribu kutoroka kupitia njia ya chini.Madikteta wanajua mwisho wao, Gaddafi alikuwa na pesa nyingi, Airport ndege zipo tayari zinamsubiri yeye tu akiamua kutoroka anaenda lakini aliamua kufa na kuchomwa bayonet matakon*
Na viongozi wa upinzani ambao wana utamaduni wa kung'ang'ania madarakani.Nakala kwa ccm