Unajua Bhokasa alichokifanya?Sasa huyu Mwamba ni masikini?wanamiliki apartments France na mapesa kibao.Huyo Binamu yake unadhani atamdhuru Ndugu yake,dhubutu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua Bhokasa alichokifanya?Sasa huyu Mwamba ni masikini?wanamiliki apartments France na mapesa kibao.Huyo Binamu yake unadhani atamdhuru Ndugu yake,dhubutu!
Inaelekea jamaa hajui Bokasa alichofanya mkuu.Unajua Bhokasa alichokifanya?
Wapo kwenye tamasha sie hamna umeme, na wauza petrol wameficha mafuta.Unamaanisha bimdashi au?
Hakyamungu waafrika Sijui alieturogea kwny madarakani Ni Nani[emoji28]Biya mchumba tu mbele ya Teodoro Nguema raisi wa Equatorial Guinea.
Jamaa amekaa madarakani miaka 45, na bado anataka kugombea uchaguzi ujao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
CCM mnalo la kujifunza hapa. Endeleeni kushupaza shingo zenuMzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
View attachment 2734714View attachment 2734715View attachment 2734716
Ukilewa madaraka utajiona bashite alilewa akiamini baada ya jiwe yeye ndie kwa kupotoshwa na waganga.Hata maza ajifunze!
Hilo dingi toka mwaka 82 lipo ikulu na linataka kufia ikuluPaul biya kwake network its loading
Ova
😄😄Make noises.zee la 'make noise' haamini anachokiona
Ali Bongo...rais aliyepinduliwa Gabon
HehehePaul biya kwake network its loading
Ova
Yaani kakonda ndani ya siku 3?Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
View attachment 2734714View attachment 2734715View attachment 2734716
Jirani yetu M7 na yeye bado anampango wa kuvunja record ya raisi alietawala muda mrefu zaidi Africa Mashariki na Africa kwa ujumla.Hakyamungu waafrika Sijui alieturogea kwny madarakani Ni Nani[emoji28]
Tujifunze kwa lipi na wakati sisi tunafuata utawala wa kidemokrasia kuanzia chamani hadi serikalini.CCM mnalo la kujifunza hapa. Endeleeni kushupaza shingo zenu
Tufanye kuchukua nchi, akirudi kutoka Zanzibar akute tumekalia kiti mkuu.Wapo kwenye tamasha sie hamna umeme, na wauza petrol wameficha mafuta.
Na bado alikuwa na mpango wa kumuandaa mwanae, ili aje ashike kijiti cha uongozi miaka ijayo 🤣🤣🤣MPUMBAFU huyo HUWEZI ukatawala NCHI miaka yote Hiyo.
Msh3nzi kabisa.
Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
View attachment 2734714View attachment 2734715View attachment 2734716
Nguema wa Equatorial Guinea amekaa madarakani toka 78, na bado ametangaza kugombea tena uraisi katika uchaguzi ujao.Hilo dingi toka mwaka 82 lipo ikulu na linataka kufia ikulu
Nani kakuambia sasa hivi jamaa ni masikini?