Picha: Hii ndo inaitwa unalala tajiri, unaamka masikini

Picha: Hii ndo inaitwa unalala tajiri, unaamka masikini

Sio maskini kidogo, hujui definition ya umaskini, yupo house arrested, hajui mke na wane walipo, na huishia kufunguliwa mashtaka, na kufa kabla hata hawajuhukumiwa, huo ndo umaskini
Nimependa maelezo yako. Hakuna umasikini mbaya kama wa kukosa amani katika maisha.

Jamaa kwa sasa hana amani wala furaha. Hivyo hata hizo hela zake hawezi kuziona thamani yake.
 
Lakini huyu mwamba alipata stroke tangu 2018, alikuwa akilazimisha tu urais lakini kiufupi afya yake haikuwa timamu regardless ya matibabu ya muda mrefu nchini Ufaransa.
Sasa sijui kwanini alitaka kuendelea na madaraka wakati akijua kuwa yeye ni mgonjwa.
 
Jamaa anachekesha Baba yake ametawala Gabon miaka 42 na alikuwa ana akaunti za fedha zaidi ya 70, magari ya kifahari kama Ferrari achilia mbali Apartments kibao uko France.Jamaa yeye katawala miaka 14,alafu useme mtu kama uyo ni Masikini.
Au jamaa anamfananisha jamaa na Mawaziri wa Samia anao watengua[emoji1787][emoji1787]
Kwa stahili hii Afrika kuendelea kazi ipo.
 
Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.

Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.

Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.

View attachment 2734714
file-20180228-36706-1rzazco.jpg
View attachment 2734716
 
Back
Top Bottom