Picha: Hii ndo inaitwa unalala tajiri, unaamka masikini

Ameisha aisee..
 
Watu kama hawa ni wezi kama hawa tunaowachoma moto huku mtaani tena kwa kuiba vitu vidogo vidogo. Inafaa wamtoe nje raia waitishe kelele za mwizi avishwe tairi wamalizane nae. Ni ukatili lakini inaweza kusaidia kupunguza tamaa za mali kwa viongozi kutoka bara la afrika.
 
Maisha yanaweza kubadilika muda wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…