Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #61
Yaani kakonda ndani ya siku 3?
M7 ajifunze kupitia matukio haya. Mungu bado anampenda ndomaana anamtangulizia kwanza mifano kupitia madikteta wenzake.Ukisikia kunyang'anywa tonge mdomoni ndio hii,yaani direct from heaven to hell,hatari sana kwakweli...
Dah aiseee..... 🤣🤣🤣Wangeliua kabisa, ma mtu mabinafsi haya sana
Nimependa maelezo yako. Hakuna umasikini mbaya kama wa kukosa amani katika maisha.Sio maskini kidogo, hujui definition ya umaskini, yupo house arrested, hajui mke na wane walipo, na huishia kufunguliwa mashtaka, na kufa kabla hata hawajuhukumiwa, huo ndo umaskini
Nimependa maelezo yako. Hakuna umasikini mbaya kama wa kukosa amani katika maisha.
Jamaa kwa sasa hana amani wala furaha. Hivyo hata hizo hela zake hawezi kuziona thamani yake.
Hilo nina imani litafanyika, ili kumkomesha kwa vitendo vichafu na vya kipumbavu alivyofanya madarakani.Hao wahuni hata account zake na hela zote watazuia.
Bado Paul Kagame, na Paul Biya, pamoja na Theodor Nguema ObiangM7 ajifunze kupitia matukio haya. Mungu bado anampenda ndomaana anamtangulizia kwanza mifano kupitia madikteta wenzake.
Uyo bongo kuanzia sasa anasitahili kuwa jela.We acha tu mkuu, yani hawa watu muda mungine wanafurahisha, na muda mungine wanasikitisha.
Kati ya hao uliowataja, kuna mmoja hatomaliza mwaka.Bado Paul Kagame, na Paul Biya, pamoja na Theodor Nguema Obiang
Sasa sijui kwanini alitaka kuendelea na madaraka wakati akijua kuwa yeye ni mgonjwa.Lakini huyu mwamba alipata stroke tangu 2018, alikuwa akilazimisha tu urais lakini kiufupi afya yake haikuwa timamu regardless ya matibabu ya muda mrefu nchini Ufaransa.
Jela ataenda tu. Ngoja kwanza hili zengwe la mapinduzi lipite.Uyo bongo kuanzia sasa anasitahili kuwa jela.
Kwa stahili hii Afrika kuendelea kazi ipo.Jamaa anachekesha Baba yake ametawala Gabon miaka 42 na alikuwa ana akaunti za fedha zaidi ya 70, magari ya kifahari kama Ferrari achilia mbali Apartments kibao uko France.Jamaa yeye katawala miaka 14,alafu useme mtu kama uyo ni Masikini.
Au jamaa anamfananisha jamaa na Mawaziri wa Samia anao watengua[emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji2]Kutoka ally bonge mpaka kuwa ally chikonda kabakiza bichwa
Yani siku moja tu kabaki mifupa 🤣🤣🤣Kutoka ally bonge mpaka kuwa ally chikonda kabakiza bichwa
🤣🤣🤣Kwa stahili hii Afrika kuendelea kazi ipo.
Walimpa uhuru wa kuwasiliana na ndugu au jamaa na marafikiMimi nataka kujua,kwahiyo wajeda waliomuweka kizuizini ndio walimrekodi ile video ?
Mzee wa watu alivyokuwa anakula bata, wala hakujua kama kesho mambo yanaweza kuwa vinginevyo.
Kwa wasiomfahamu huyu anaitwa ndugu Ali Bongo, aliewahi kuwa raisi wa Gabon kabla ya kupinduliwa na jeshi lililoongozwa na binamu yake jana.
Hapa kuna cha kujifunza ndugu zangu.
View attachment 2734714
View attachment 2734716