PICHA: Huu ni ugonjwa gani sehemu za siri?

Je Kama huo ubavu wako una ma x kibao ambao bado wanamla?
 
Punguza hype basi, Eti 2012 sema huendi kupima ndo maana hujuiπŸ˜„.

Kaka Mimi Mwaka Jana ninge vuta malaika wangu, Sena ndo hivyo tu.
Sio hivyo nimeikomesha kabisa kwa sababu Kuna Jamaa mmoja aliniambia enzi hizo za 2012, piga nyungu yaani nichukue majani ya Mwarobaini nijifushe na niliifanya vile, inaua vidudu vyote vya malaria ni inaweka Kinga kwa mujibu wa Jamaa na huwa silalii net hata kama Kuna mbu kama inzi wa ferry mchana
 
Hakika
 
Utakuja kufa vibaya πŸ˜€πŸ€£, nyungu ya Mara 1 ndo ikupe protection ya miaka 12 πŸ€“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…