PICHA: Huu ni ugonjwa gani sehemu za siri?

Utakuja kufa vibaya 😀🤣, nyungu ya Mara 1 ndo ikupe protection ya miaka 12 🤓
Sina malaria kabisa juzi kati hapa nilienda mahali kulikuwa na Kikao tukaletewa nyama pori na chipsi, nilipokula kurudi home nasikia kutapika na joto la miwili liko juu ndani hakulaliki hata feni ilikuwa inanietea changamoto nikaamua kulala nje mpaka saa 8 usiku kuingia ndani Wacha nitapike na kuhara kesho yake naenda hospital malaria nikapima hakuna nikapima na stool nikaambiwa ni food poisoning tu.
 
mbona shida
 
Leo ni mwendo wa bandika bandua, huku HIV kule PANGUSA na mara hii GENITAL HERPES, bado warts, gono, chlamydia, hpv, syphilis.

Wakuu endeleeni kutiririka, huenda uzi wa kula kimasihara na ule wa fantasies ukakata moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…