Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
🤣🤣🤣SUKUNUNUKwa wale watumiaji wa mtandao pendwa wa X, nadhani mtakuwa mashahidi. Kwenye misiba hii ya taifa nimemuona sana. Pia kwenye habari za kigogo ama Malkia, watu humtumia sana kwenye replies. Ni nani huyu? Ama ana uhusiano gani na matukio kama haya?
Ama wwnamtumia kwenye issue za hudhuni kwa sababu ya mwonekano wa sura yake?View attachment 2922041
SUKUNUNU ndo nani huyo? Na kwanini atrend huko X kiasi hicho?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]SUKUNUNU
Ni comedian?🤣🤣🤣SUKUNUNU
Jamaa anatukana sana serkali bila kuficha na anatukana viongozi kwa Matusi ya Nguoni 🤣🤣SUKUNUNU ndo nani huyo? Na kwanini atrend huko X kiasi hicho?
HapanaNi comedian?
Duh! Mliopo X mnaona mengiJamaa anatukana sana serkali bila kuficha na anatukana viongozi kwa Matusi ya Nguoni 🤣🤣
Ina tegemea ni x ipi?🤓Duh! Mliopo X mnaona mengi
Namaanisha Twitter republicIna tegemea ni x ipi?🤓
uwe una eleweka bablai, SI tulikuwa chama Cha sabuni 🤓Namaanisha Twitter republic
Apana hyo ni weka mbali na watoto😁😁nlisimamia ukucha sana kipindi nipo uboyznuwe una eleweka bablai, SI tulikuwa chama Cha sabuni 🤓
Unawaza pilau tuIna tegemea ni x ipi?🤓
Mental caseJamaa anatukana sana serkali bila kuficha na anatukana viongozi kwa Matusi ya Nguoni 🤣🤣
Brother niletee sister ako nioe Basi🤓Unawaza pilau tu
Hudhuni = huzuni. Yaani watu kama wewe usiyeweza kuandika kiswahili vizuri mnastahili vifungo vya miezi 6 jela.Kwa wale watumiaji wa mtandao pendwa wa X, nadhani mtakuwa mashahidi. Kwenye misiba hii ya taifa nimemuona sana. Pia kwenye habari za kigogo ama Malkia, watu humtumia sana kwenye replies. Ni nani huyu? Ama ana uhusiano gani na matukio kama haya?
Ama wwnamtumia kwenye issue za hudhuni kwa sababu ya mwonekano wa sura yake?View attachment 2922041
Duh! Handle anayoitumia ni ipi niende nikamfollow?Jamaa anatukana sana serkali bila kuficha na anatukana viongozi kwa Matusi ya Nguoni [emoji1787][emoji1787]
Hiyo hiyo SukununuDuh! Handle anayoitumia ni ipi niende nikamfollow?
Hata hiyo hiyo X ya Sir. Elon, ndani yake ina mambo mengi ya ajabu na ya kutisha. Hasa hasa wale wapenzi wanaojiita AmadodaIna tegemea ni x ipi?[emoji851]