Picha: Huyu ni nani? Mbona amekuwa akitrend sana kwenye mitandao ya kijamii?

Picha: Huyu ni nani? Mbona amekuwa akitrend sana kwenye mitandao ya kijamii?

Ni kijana alieamua kujitoa akili na kuingiza gia zote. Anatukana na kudhihaki viongozi wa serikali direct
 
SUKUNUNUA A.K.A Baba Ashura ,huyu hana adabu kabisa hata robo ,kwanza hata kuandika hajui vizuri kazi kukejeli watu tu.!
 
Back
Top Bottom