Picha: Huyu ni nani? Mbona amekuwa akitrend sana kwenye mitandao ya kijamii?

Picha: Huyu ni nani? Mbona amekuwa akitrend sana kwenye mitandao ya kijamii?

Hudhuni = huzuni. Yaani watu kama wewe usiyeweza kuandika kiswahili vizuri mnastahili vifungo vya miezi 6 jela.
[emoji23][emoji23]Hasara za matumizi ya kimalkia kwa muda mrefu mkuu. Mimi na wanangu huwa tunazungumza kimalkia
 
Bilashaka aliyeleta taarifa humu,atakua anamtafuta huyo Sukununu.Hii teknolojia bhana,inamaana mtu akiwa X hawezi kukamatwa... yaani ni vigumu kumkamata?
 
IMG_4629.png
 
Back
Top Bottom