Picha kutoka maktaba,,,sasa hivi ni bilionea mkubwa huyu

Hizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
miaka unayotaja wew ni kwa africa kumbuka hapo ni asia walioanza kupata maendeleo kabla yenu
 
Reactions: Lee
Hizi picha si za 1970s...hii ni swagga na technology ya 2005s na kuendelea...
So huyo si Dr. Shika
 
ila wabongo mnajua kuchungunguza sana aisee... Mbona lisu amjapata waliompiga risasi hadi leo ...why?
 
Miaka ya 1980's nadhani picha zilikuwa black and white.
 
Hizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
We wa juzi kweli. Haya mashati yamerudi baada ya kuvaliwa sana miaka ya nyuma . Wana muziki kama akina makassy pia walikuwa wanayavaa sana hii fashion ya zamani iliyorudi
 
Reactions: Lee
Hii picha ni ya juzijuzi na wala sio Dr Shika, umeichafua weee ili tuone ni ya zamani
 
We wa juzi kweli. Haya mashati yamerudi baada ya kuvaliwa sana miaka ya nyuma . Wana muziki kama akina makassy pia walikuwa wanayavaa sana hii fashion ya zamani iliyorudi
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
ngoja akutane na mtoto wa kichaga ampe mtori wiki mbili, maziwa na michemsho ya ndizi ya kutosha na avishwe vizuri sasa hivi atarudia hali yake bado mdogo sana.
 
Mbona majuha hamsomi mtoa post kasema miaka1980 nyie mmerudisha 1970
 
Shika kashikilia mutoto [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Alikua bishoo daah

Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana
Ukichanganya vodka na mbunye lazima upaki skrepa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…