ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
miaka unayotaja wew ni kwa africa kumbuka hapo ni asia walioanza kupata maendeleo kabla yenuHizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miaka unayotaja wew ni kwa africa kumbuka hapo ni asia walioanza kupata maendeleo kabla yenuHizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
Napingamiaka unayotaja wew ni kwa africa kumbuka hapo ni asia walioanza kupata maendeleo kabla yenu
Du umewakamataIlikuwa ni miaka ya 1980s mitaa ya urusi,,,,,na sasa hivi ni bilionea mkubwa sana[emoji3] [emoji3] [emoji23]![]()
![]()
sidhani kama watu wa 80 walivaa vilesidhani na siamimi huyo ni dr. shika.
hillary clinton anaijua hiyo kituKGB sio wa mchezo mchezo
sawa na viroba kwa bongo.nenda maeneo ya stendi au wauza mabucha.vijana wadogo lkn sura ngumu kwa ajili ya spirit[emoji3] [emoji3] kwel vodka mbaya
Unadhani ni neno sahihi maana ukweli zilikuwepo na mabuga yetu. Hata tvMiaka ya 1980's nadhani picha zilikuwa black and white.
We wa juzi kweli. Haya mashati yamerudi baada ya kuvaliwa sana miaka ya nyuma . Wana muziki kama akina makassy pia walikuwa wanayavaa sana hii fashion ya zamani iliyorudiHizi picha siziamini ...1970 kweli mbona mitoko hii kama ya miaka ya 2000
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]We wa juzi kweli. Haya mashati yamerudi baada ya kuvaliwa sana miaka ya nyuma . Wana muziki kama akina makassy pia walikuwa wanayavaa sana hii fashion ya zamani iliyorudi
Kwan dokta kaondoka lini urusi si juzi tu miaka ya 2000sidhani kama watu wa 80 walivaa vile
Ukichanganya vodka na mbunye lazima upaki skrepa.Shika kashikilia mutoto [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Alikua bishoo daah
Urusi sio kuzuri kabisa sasahivi hata meno hana