!
!
hahaha umeua mkuu teh teh teh mwakdlift
ARCU Arusha lina lifti kabla ya AICC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
!
!
hahaha umeua mkuu teh teh teh mwakdlift
Niliwahi kutembelea mji wa Arusha mwaka 1977, na kubahatika kufikia kwenye hoteli ya New Arusha, lenye jengo la ghorofa tatu ikiwa na lift kubwa yenye uwezo wa kubeba zaidi ya watu sita na masanduku yao.
Aidha kwa kumbukumbuku AICC ilifunguliwa mwaka huohuo 1977, hivyo basi sio sahihi kusema ndio jengo la kwanza kuwa na lift katika mji wa Arusha.
arusha pia arcu. ni miaka hiyo hiyoLIFT YA KWANZA JIJI LA MWANZA ni katika Jengo la VICTORIA FEDERATION SIKU HIZI LINAITWA JENGO LA NYANZA COPERATIVE NA HIYO ILIKUWA 1957 wakati huo Mwl. anavaa kapula na Paul Bomani anavaa suti na kishatoka maulaya kitambo.
Hehehe!!hivi hii lift inaendeleaje...hope watu washapigia hapo picha za kutosha kujaza album!
Cha AJABU nin hapo MKUU.wana MBEYA mupoo! kwa kweli habari hii wasiijue watani zetu toka kenya watatucheka sana
Cha AJABU nin wewe?Ha ha ha lift ya kwanza "Jijini" karne ya 21? hatari sana hii wajameni