Uvccm mfuu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2024
- 453
- 492
Yule failure wa suguTatizo nyuma yake yupo msigwa wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule failure wa suguTatizo nyuma yake yupo msigwa wa ccm
Oyaaa,kuna sheikh anamuoza binti yake wa miaka 8,yupo sahihi kwa mujibu wa kuruan!!??Lissu inaonekana sasa hivi remotely kama vile drone
Wewe nyuma yako kakubambia Nani?Tatizo nyuma yake yupo msigwa wa ccm
Hawa wote ni CCM. Miaka ya nyuma CCM walikuwa wanahoji kwa nini Mbowe haachii wenzake madaraka lakini mwaka huu wanataka aendelee. Keshachukuwa fedha za Samia na ameahidi kutompa upinzani wa maana.Kutangaza nia ya kugombea uenyekiti ni kosa?
Hakuna demokrasia kwa sababu mtu kung'ang'ania madaraka kwa miaka 25 katu haiwezi kuwa demokrasia. Atasingizia katiba lakini ukomo uliondolewa kwa sababu kipindi hicho watu walikuwa wanaogopa kuingia kwenye vyama vya upinzani.mimi ninachofurahia ni kuona demokrasia inafanyaje kazi ili mradi isiwe wimbo uliozoeleka nimeibiwa kura. Msigwa na kundi lake watafurahi mno
Hiyo ni drama tuPicha ya kikoa cha leo
Lissu kajimaliza kisiasa kwa ushawishi wa msigwa
ukitizama unajua hapa kuna mpasuko mkubwa ndani kwa ndani
Lissu inaonekana sasa hivi remotely kama vile drone
Oyeeee. Lissu Aache kuendeshwa na Msigwa kama drone inavyoendeshwa
Huyo hata Dikteta yeye kwake bora ni aseme "Salamaleko" anamuunga mkono😂🤣Bado hujasema wewe chawa wa mama. Msigwa Leo mmemuona wa maana.
Mbowe mbabe wa siasa za hii nchi Lisu aende step by step.
😂😂😂😂🤪🤪🤪Apigwe nduli Lissu..... (wote tuitikie).....apigweeeee!!!!!!
Lissu atakuwa mgombea Urais CDM; Makamo mwenyekiti, kama hutaki tangulia Msumbiji tunakuja.