Wazungu wa Buza wamekuwa wakihangaika sana hapa Jamiiforums kuonyesha mshikamano feki unaoitafuna CHADEMA.
Sasa wana wakana CHADEMA.
Wazungu hawa wa buza (House N)mamluki, na vibaraka, wa Mabeberu waliletwa hapa kuchafua hali ya Siasa Tanzania ikiwa pamoja na vita ya kisaikilojia waliyoianzisha kabla na baada ya Kifo cha Rais mpendwa Tanzania Hayat Rais John Pombe Magufuli.
Malengo yao yamebuma. Waliwadanganya CHADEMA wafanye Vurugu,wajiteke, wajiumize n.k n.k Wakaumia wenyewe, wakawashauri kufanya Maandamano...yakabuma. In short CHADEMA imedanganywa, ikadanganyika na Ikadanganya
Yani wamepotezwa na ushauri wa hawa mamluki wa kutumia siasa za kutukana tu badala za kuuza sera.
Wameshindwa Uchaguzi wa hivi karibuni... Manake hakuna Mwananchi alikuwa anawaelewa wanataka uongozi kww manufaa ya nani? Ya Nchi? Ya Wazungu? Yao wenyewe?
Sasa baada ya Uchaguzi....walioshindwa chini ya Kiongozi wao Mbowe... wanamtaka Lissu aje na Harakati zake. Mbula.
Lissu hatoweza pata hata kura za huruma za kupigwa risasi zitakazo mpa kura za kutosha kuwa Raisi wa Nchi hii.
Wachaneni na wazungu hawa wa Buza