Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi

Acha uchizi...!!Sipendi na sitaki ma CCM kuwafanya Watz hawana akili....!!!
Hivi Polepole alipokwenda kumchukua sijui kumpokea Dr. Mashinji ALIKWENDA KUVAMIA au?

CCM acheni kutetea upumbavu...!
That is purely double standards...Dunia imeona na Watz wameona..,!!!

You just wait your judgement coming very soon!
 
Hata kwa Mwangosi walsema uwongo kama si urongo. Wazoefu wa kudanganya na kupindua ukweli.Mara risasi ilipaa juu ,ikapinda na kukata kona ikalenga kichwani mwa Akwilina.
 

Ndugu yangu popote ulipo Mungu akubariki Sana for this very vital info!
Naweza kubaliana na wewe kwa 99.99 pc.
Ikizingatiwa kuwa Bashite Ziro Brain Ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi ya Mkoa...LAZIMA ATAKUWA AMETOA MAELEKEZO HAYA as a revenge ya kuzuiwa kwake kuingia Mkutano wa BAWICHA...!!

Ipo siku huyu kichaa atakuja lipia huu uhuni anao wafanyia our fellow Tanzanians.....Hii haikubaliki asilan.
 
ili tuamini kama walivutwa weke video nzima inayoonyesha tukio lote na sio hiki kipande
Fika kwanza gereza la segerea uone geographia yake.Kuvutwa ni kutolewa chini kwenye mtelemko na kulazimishwa kupanda juu mlimani gereza liko juu kilimani.
 
Ccm inahitaji kosa moja tu ili ifutike tunashukuru wenye hekima awapo ccm siku hizi ili iaangamie
 
Hata kwa Mwangosi walsema uwongo kama si urongo. Wazoefu wa kudanganya na kupindua ukweli.Mara risasi ilipaa juu ,ikapinda na kukata kona ikalenga kichwani mwa Akwilina.
Mbona unaongea vitu havilingani na hii ishu?
 
Hii serikali ya kishamba sana,hayo yote ni kumfurahisha jiwe maana kuna kipindi IGP alitumia busara kwa watu waliokusanyika,huyo Sadist akakasirika sana na kujiapiza kuwa "I wish i could be IGP"!
raha yake ni kuona watu wanateseka nawaza sana tulimpataje ntu kama huyu
 
Serikali ya CCM/Polepole ndiyo inayowajibika na ustawi wa magereza na watu waliomo!! Wengine wote ni wavamizi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…