Picha: Mfalme Zumaridi akionyesha namna alivyoumia kwa kipigo cha Polisi

Kama katiba yetu haiingilii Uhuru wa kuabudu,

Huyu mfalme anateseka mahabusu kwa kipi?

Inchi ina watu wa hovyo sn hii.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Ngoja mbu zifanye yao kwanza uone.

Walivyo wengi kubaki wote rumande ni hasara kwa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…