Hapo walipogusia ukomo wa madaraka au ukomo wa wabunge wa kuteuliwa/viti maalumu ilikuwa hoja na azimio la wqpinzani CHADEMA walivyokosa hoja walishaidaka tayari.
Kweli CCM mmeshindwq mkubali tu.
Si bora mkaja na hoja ya Katiba mpya na Tume huru mkaachana na mauzauza!