PICHA: Mwenyekiti wa CCM Taifa Cde Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza kikao Cha Halmashauri Kuu kwa Mafanikio Makubwa

PICHA: Mwenyekiti wa CCM Taifa Cde Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza kikao Cha Halmashauri Kuu kwa Mafanikio Makubwa

View attachment 3265696
View attachment 3265707
View attachment 3265697
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), leo tarehe 10 Machi 2025, jijini Dodoma.
View attachment 3265838
View attachment 3265837
View attachment 3265806
View attachment 3265698
View attachment 3265699
View attachment 3265804
Mafanikio gani makubwa wewe chawa? Hawa ni wezi wanaokula pesa za umma. FUNGUA AKILI WEWE CHAWA.
 
Hakuna Futari ya mama? Maana kila kikao anachofanya lazima aache kimoja cha mama.
 
Lengo la kikao ni nini? Au wanapitia upya maamuzi yaliyofanywa juu kwa juu ya ku.pitisha kuwa mgombea?
Hapo walipogusia ukomo wa madaraka au ukomo wa wabunge wa kuteuliwa/viti maalumu ilikuwa hoja na azimio la wqpinzani CHADEMA walivyokosa hoja walishaidaka tayari.
Kweli CCM mmeshindwq mkubali tu.
Si bora mkaja na hoja ya Katiba mpya na Tume huru mkaachana na mauzauza!
 
Back
Top Bottom