Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Hana fiesta na hao wote wamekuja bila magari,ccm pia wakifanya mkutano bila fiesta wala kuwaleta watu kwa magari hali itakuwa kama hiyo
 
Hahahaaa!
ati mamia kwa maelfu? hiyo ni mamoja kwa makumi[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Lipumba nimekubali Ni Profesa anajua nguvu ya Spika .Waliosikia ujumbe wake Ni maelfu kote inakofika hiyo sauti ya Spika ndio maana CCM hatutaki Spika mbovu mbovu Kama za Chadema za Lisu zinazokoroma utafikiri Zina kifafa hata walioko mkutanoni hawasikii anaongea Nini CCM tumewekeza kwenye mitambo ya sauti sio Spika

Namwaga Siri nikijua siku zimeisha na kote Lisu kapita kachemka na vi spika vyake vya betri za gari mbovu.Watu wanajaa lakini hawasikii kitu!!!!

Kipindi Cha Lala Salama Lipumba go Professor watakujua sanduku la kura kuwa wewe Ni Profesa au la.Utakaposhika nafasi ya pili kwenye kura ukimbwaga Lisu ndio watakuelewa

Mikoa yote ya Pwani na Zanzibar ushindani Ni Kati ya CCM na CUF tu na sehemu zenye waislamu wengi ushindani ni Kati ya CCM na CUF tu

Waislamu Weusi ndio wengi ambao wengi Ni CCM na CUF tu

ACT wazalendo Kuna waislamu Wapemba wachache wakiongozwa na Maalim Seif hivyo hawatupi Shida CCM na CUF tutawaonyesha Cha mtema kuni bara na Zanzibar

Chadema hawana political advisors wazuri walitakiwa waungane walau na CUF Kama lengo lilikuwa kuiteka Zanzibar!!!

CCM namwaga Siri nikijua muda umeisha na Chadema hawana uwezo wa kurekebisha.CUF inaenda kivyake
 
Mbatia aliahidiwa na Jiwe wabunge watatu na Lipumba wawili huku akiahidiwa kufanywa mgombea mkuu wa upinzani hapo Jiwe hakujua hatima yake.

Sasa hivi yupo gereji kawatelekeza wote
Na Maalim Seif nae alipewa ahadi ipi na Magufuli maana pia aliitwa mjengoni.
 
Lipumba nimekubali Ni Profesa anajua nguvu ya Spika .Waliosikia ujumbe wake Ni maelfu kote inakofika hiyo sauti ya Spika ndio maana CCM hatutaki Spika mbovu mbovu Kama za Chadema za Lisu zinazokoroma utafikiri Zina kifafa hata walioko mkutanoni hawasikii anaongea Nini CCM tumewekeza kwenye mitambo ya sauti sio Spika

Namwaga Siri nikijua siku zimeisha na kote Lisu kapita kachemka na vi spika vyake vya betri za gari mbovu.Watu wanajaa lakini hawasikii kitu!!!!

Kipindi Cha Lala Salama Lipumba go Professor watakujua sanduku la kura kuwa wewe Ni Profesa au la.Utakaposhika nafasi ya pili kwenye kura ukimbwaga Lisu ndio watakuelewa

Mikoa yote ya Pwani na Zanzibar ushindani Ni Kati ya CCM na CUF tu na sehemu zenye waislamu wengi ushindani ni Kati ya CCM na CUF tu

Waislamu Weusi ndio wengi ambao wengi Ni CCM na CUF tu

ACT wazalendo Kuna waislamu Wapemba wachache wakiongozwa na Maalim Seif hivyo hawatupi Shida CCM na CUF tutawaonyesha Cha mtema kuni bara na Zanzibar

Chadema hawana political advisors wazuri walitakiwa waungane walau na CUF Kama lengo lilikuwa kuiteka Zanzibar!!!

CCM namwaga Siri nikijua muda umeisha na Chadema hawana uwezo wa kurekebisha.CUF inaenda kivyake

Unahangaika sana we TAGA
5320fa5b-760d-45a0-a55c-fc5ea898f299.jpg
 
pamoja na uwizi wa tume na polisi watapata wabunge zaidi ya 120, huku kileleni akiwepo Lisu
Kwa kampeni ipi Lisu ya maana aliyofanya? Yeye anahangaika na vimiji ambako Kuna ushindani wa kisiasa wa kufa mtu vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 Wala hajagusa

Lisu Ni mgombea wa kwenye barabara za Lami

Asilimia 99.9 so far za kampeni zake kafanya near barabara za Lami

Ni barabara za Lami road show presidential candidate!!!

CCM tumekaba kila Kona hadikusiko na barabara za Lami Wala za vumbi tupo
 
Huyu hana hata mshipa wa aibu. Yupo tayari apungie mikono hewa ili aonekane ana wafuasi wanaomsikiliza. Atahutubia popote pale alipopangiwa ili kutimiza sharti la kuendesha mikutano ya uchaguzi na mwisho aonekane ana wabunge 2 au 3 na kupata ruzuku kwa chama chake na maisha yaendelee.
 
Kwa kampeni ipi Lisu ya maana aliyofanya? Yeye anahangaika na vimiji ambako Kuna ushindani wa kisiasa wa kufa mtu vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 Wala hajagusa

Lisu Ni mgombea wa kwenye barabara za Lami

Asilimia 99.9 so far za kampeni zake kafanya near barabara za Lami

Ni barabara za Lami road show presidential candidate!!!

CCM tumekaba kila Kona hadikusiko na barabara za Lami Wala za vumbi tupo

5320fa5b-760d-45a0-a55c-fc5ea898f299.jpg

Taga mwenzio
 
Kama kweli ana PHD, atajitoa au kusitisha kampeni! Ni mtu wa namna gani kakosa aibu vile!
 
Pale Mgombea Raisi wa Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya Cuf anapojihutubia mwenyewe ni bora angekaa Ofisini kwake pale Buguruni halafu akaanza kuongea pale yake
 
Back
Top Bottom