Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CUF Habari hongereni
Naomba nisajiliwe kwenye team yake ya kampeni.Nitajaribu kuokoa jahazi kinalozama,mwisho ruzuku itaota mbawa.Mgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020
Mtu hupata mavuno kulingana na slichopanda.Haiwezekani upande usaliti,uvune baraka.Lipumba amedhalilisha sana usomi
Nyinyi Chama chenu mwaka huu mnaangukia pua. Mkipata wabunge zaidi ya 2015 mtakuwa mmetokea kwenye tundu la sindano.Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, CCM wakamuingiza chaka saa hii anakutana na ukweli mchungu. Yeye na Mbatia tuliwaambia huo uchaguzi wa 2015 walipanda thamani kwa kuwa kwenye ukawa sababu ya cdm, waligoma kabisa ila saa hii hatuandikii mate.
Mkuu maelfu ya watu wako wapi hapo!!!????Mgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020
Maelf ya wakazi wa iringa wakimsikiliza prof wa uchumiMgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020
Duuuh!! huyu mgombea yuko vizuri!! anagombea nafasi gani?
Washamba hao!!Kuna Selasini, Komu na Mustafa Muro wa Kinondoni. Wote hawa walikuwa chadema. Hivi kumbe Ndugai alisema hili?
huwezi fananisha Lisu aliyeichakaza karibu kila kona ya nchi hii kwa kampeni na huyu meko garibovu akipiga kimoja hoii anawahi gereji ,vip na yale maigizo ya helicopter au yamegeuka kuwa Helicobacter pyloriKwa kampeni ipi Lisu ya maana aliyofanya? Yeye anahangaika na vimiji ambako Kuna ushindani wa kisiasa wa kufa mtu vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 Wala hajagusa
Lisu Ni mgombea wa kwenye barabara za Lami
Asilimia 99.9 so far za kampeni zake kafanya near barabara za Lami
Ni barabara za Lami road show presidential candidate!!!
CCM tumekaba kila Kona hadikusiko na barabara za Lami Wala za vumbi tupo
HhhhhhhhhhMkuu haka kautani umekaanza lini? (LoL)
Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, CCM wakamuingiza chaka saa hii anakutana na ukweli mchungu. Yeye na Mbatia tuliwaambia huo uchaguzi wa 2015 walipanda thamani kwa kuwa kwenye ukawa sababu ya cdm, waligoma kabisa ila saa hii hatuandikii mate.
Kwani amepungukiwa nini? Yeye kazi yake ni kukunja hela ya ruzuku. Ni sawa tu na Tundu lissu anayejaza watu lakn hawezi kuwa raisi maisha yake yoteAnalipa malipo ya usaliti
Umekariri maisha?Kwani amepungukiwa nini? Yeye kazi yake ni kukunja hela ya ruzuku. Ni sawa tu na Tundu lissu anayejaza watu lakn hawezi kuwa raisi maisha yake yote
Hahaaa umetisha mkuuMaelfu ya michanga imejitokeza kwenye kampeni
Nyinyi Chama chenu mwaka huu mnaangukia pua. Mkipata wabunge zaidi ya 2015 mtakuwa mmetokea kwenye tundu la sindano.
Kwani amepungukiwa nini? Yeye kazi yake ni kukunja hela ya ruzuku. Ni sawa tu na Tundu lissu anayejaza watu lakn hawezi kuwa raisi maisha yake yote
Ila na yeye kazingua mwenyewe.
Ila nimemkubali swala moja.Ila na yeye kazingua mwenyewe.
Alipoenda mwanza alifanya mkutano wake center kabisa ya mji.
Kuna ka kituo kana space iko wazi ya Kama meter square Mia tano hivi.
Napo hapakujaa lakini watu walitoshea pakapendeza.
Sasa Kama mwanza kafanya Kampeni pahala padogo na hakujaza.
Nini maana ya kwenda huko kufanyia Kampeni kwenye liuwanja likuubwa, more than ten times wa aliofanyia mwanza.🤷🤷🤷🤷