Wabongo wanafki sana🤣🤣🤣😁😁Hakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.
Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.
Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.View attachment 2551133
Ikafika hatua jiwe aliweka wazilankende wenzake toka Rwanda kuwa walinzi wa ikulu. Nchi ilichezewa Sana hiiRwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
Anashindwa hata na,wale wahubiri kwenye vituo vya mabus [emoji23]Hakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.
Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.
Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.View attachment 2551133
Picha ya kitambo SanaHakika waswahili walisema kuwa ukipanda mtama utavuna mtama tu.
Lipumba mwenyekiti wa cuf ameanza kuvuna alichokipanda kwa uroho wake wa fedha.
Tazameni nyomi aliyo ikusanya kwenye mkutano wake wa kisiasa kufuatia kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa.View attachment 2551133
Ooh kumbe walianza kumkataa kitamboPicha ya kitambo Sana
Cheap propaganda
Duh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
P
Walianza NCCR, wakafuata CUF...kituo kinachofuata ni CDM...ukishaanza maridhiano na kulamba asali tu jua jamaa wanaenda kukuzika mazima...CUF ya 2000 enzi za Ngangari na Ngunguri ilikua ya moto sana bt now ndo km hivi...2025 ipo karibu tutapata majibu...its just a patternAnashindwa hata na,wale wahubiri kwenye vituo vya mabus [emoji23]
Wewe umerogwa na JiweWalianza NCCR, wakafuata CUF...kituo kinachofuata ni CDM...ukishaanza maridhiano na kulamba asali tu jua jamaa wanaenda kukuzika mazima...CUF ya 2000 enzi za Ngangari na Ngunguri ilikua ya moto sana bt now ndo km hivi...2025 ipo karibu tutapata majibu...its just a pattern
Propaganda afanyiwe nani?Picha ya kitambo Sana
Cheap propaganda
Hiyo ndiyo haki ya wasalitiAnashindwa hata na,wale wahubiri kwenye vituo vya mabus [emoji23]
🤩🤩🤩Walianza NCCR, wakafuata CUF...kituo kinachofuata ni CDM...ukishaanza maridhiano na kulamba asali tu jua jamaa wanaenda kukuzika mazima...CUF ya 2000 enzi za Ngangari na Ngunguri ilikua ya moto sana bt now ndo km hivi...2025 ipo karibu tutapata majibu...its just a pattern
Mmepata pa kushikia bomba sukuma gangWabongo wanafki sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Ila hapo yy wala haamaki akimaliza anaenda zake ikulu analamba asali kidogo huyo home kwakwe..!
Hakika hakuna maana dawa ya msaliti ni kumsaliti tuNani apigwe jua kusikiliza pumba
Kwani JPM alipitishwa na nani kuwa mgombea Urais?!Moja ya victims wa Jiwe, alivuta mpunga yeye na Slaa wakakimbilia Rwanda kula bata.
Uchaguzi wa JPM kuwa Rais ulikuwa na Rwanda factor kama sponsor wa JPM.
Rwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
P