Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Uchaguzi 2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

Huyo Lipumba miaka yote alikuwa anatembelea nyota ya Maalim Seif, CCM wakamuingiza chaka saa hii anakutana na ukweli mchungu. Yeye na Mbatia tuliwaambia huo uchaguzi wa 2015 walipanda thamani kwa kuwa kwenye ukawa sababu ya cdm, waligoma kabisa ila saa hii hatuandikii mate.
CHADEMA wakipata wabunge hata wawili uchaguzi huu unijulishe
 
Chama kinapumulia mipira hakina muda mrefu tutakiita hayati
 
Sasa CCM kama wanampenda sana si wangemmegea hata wasanii wachache japo wa underground angeongeza 'vichwa' kwenye mikutano.
 
Kwa nyomi iyo nadhani ingekua jambo la busara kuunga juhudi tu #maendeleoayanachama
 
Back
Top Bottom