Yah sure mara ya mwishi kusikia habar zake hawakua in good terms na Kagame na jamaa ni kama alikua under very close watch ..Kagame akishakuona unajiweza tu bas nongwa haziishinampata yule,Kagame mwenyewe anamkubali sana licha ya kwamba kuna kipindi aliona jamaa ni tishio kwa mamlaka yake akaanza kumuwekea nongwa
yule mwamba alikutana na wacongo akachoka,mara wanajeshi wa congo wanamwaga damu ofisini(ushirikina) akashangaa sana
Siku hizi kurukusha madarasa ni ngumu mmnoUlaya na Asia miaka 21 tayari una professional fulani, lawama tuwatupie pia serikali ya CCM.mimi binafsi watoto wangu nitawarukisha madarasa alafu nawapeleka veta na baadae vyuo vya kati kwanza
yule jamaa ndio kaikalisha kinshasa mwaka 1997 kakiwa ka bwana mdogo tu kali assume mamlaka kabla hata Laurent kabila hajafika kinshasa
tuna safari ndefu sisi watanzania,primaly miaka 9, sekondari miaka 4, advance 3 na chuo mitatu,huu ni upotevu wa muda
edited
Kwahiyo we are safe
Hapo anaonekan
Nimesema historian yake alimaliza chuo mwaka 1975. Sijui alisomea hapa au ilikuwaje.
Ndio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nzito za kivita wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamoto
Kwasababu tulikuwa na mfumo wa ujamaa. Baada ya kuukubali ubepari hakuna mwamba sliyekuja TZ.Tanzania tuna kizali cha kutembelewa na wapambanaji mfano Malcom X ,Fidel Castro ,Che Guevara nk
Cha ajabu nchi imekithiri wizi ,ufisadi ,uvivu ,uoga umasikini na ujinga.
Nyerere alikua Waziri Mkuu wa Tanganyika akiwa na 39 years tu.miaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu anafika hadi 27 ana kitambi na kipara kimeanza lakini anajiona bado mtoto.
Umemjuaje huyu mvamizi wa Zaire Kabarebe was 25Ndio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nzito za kivita wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamoto
Ndivyo madikteta walivyo, huwa wanataka muamini kwamba wenyewe ni Mungu.inasemekana huyu jamaa ni immortal japo mimi siamini ila jamaa wanasema kapigana first word war.
Halafu bado anaishi kwa wazazi na ana wategemea kwa kila kitu!!miaka 21 ni mtu mzima huyo, kwa hapa kwetu mtu anafika hadi 27 ana kitambi na kipara kimeanza lakini anajiona bado mtoto.
Kwani alijiona mtoto?Kama Salim Ahmed Salim?