Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume panga tarehe 17/02/2024 yaheHongera zake, asichelewe kurudi huku kuna msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu
Yapi sasa unayozungumzia hapo?yote kheri,,..........ila usalama wa marinda uzingatiwe, huyo babu abaki na mambo yake hukohuko
Msiba unaendelea huku wewe unasema tarehe 17Tume panga tarehe 17/02/2024 yahe
Ya wanainchiYapi sasa unayozungumzia hapo?
Sawa. Aisje akatia muhuri maana mpaka sasa tayar yashawekwa rehaniYa wanainchi
Makonda anaharibu magari ya serikali huku rudi mapema.Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis mjini Vatican.
Angalia picha hapa,
View attachment 2901639
View attachment 2901640
Picha - Mwananchi
Written by Mjanja M1 ✍️
Nilimsikia muumini mmoja akisema amepewa adhabu ya kusema sala ya Bikira Maria mara 40 akasema mpaka akasinziaIna nikumbusha sala ya Ekarist ya I
Baba mwema,tunakusihi kwa unyenyekevu,na kukuomba kwa njia ya Yesu Kristu Mwanao, Bwana wetu,uzipokee na kuzibariki
✙
dhabihu hizi takatifu,tunazokutolea kwa ajili ya Kanisa lako takatifu katoliki;ukubali kuliletea amani na umoja,kulilinda na kuliongoza po pote duniani;
tunakotolea piakwa ajili ya mtumishi wako Baba Mtakatifu wetu Fransis. na Askofu wetu F. Nao wote wenye kushika imani katoliki ya Mitume.
Ee Bwana, uwakumbuke watumishi wako
na wote waliopo hapa;wewe wajua imani na ibada yao .......
usiwe na wasiwasi yakhe, hawatazungumzia mambo yaleYapi sasa unayozungumzia hapo?
Kwenye sanduku kuna nini jamani?