mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄 !Anakimbilia Vatican huku malengo yake ni kupora Uchaguzi anamlaghai nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🙄 !Anakimbilia Vatican huku malengo yake ni kupora Uchaguzi anamlaghai nani?
Duh 🙄 !Rais Mnafiki kuliko wote duniani! ninakungojea kama utachukua hatua kwa huyo Malyamungu wako aliyesema Mahakama isiheshimiwe!! Nakungoja wewe ulituletea mnyonya damu muuaji mtekaji afanye tena yake!!
Huo mkufu kwenye hilo boksi lenye nembo ya Taifa ndio mama kampelekea Papa kama zawadi?
Na ziara hii kama nchi tunanufaika vipi?
Ajikaze asiombe fedha, anatutia aibu
Itakusaidia nini ilhali inawezekana sasa ukiwa hai u mlevi, mwizi, mzinzi, muongo, mfiraji, mlawiti, muabudu sanamu, muuaji n.k. Sala za Marehemu hazisaidii kitu, ukiwa hai ndio wakati wa kutengeneza na Mungu wako. Chukua hatua sasa kwani kesho ni fumbo na umilele wako umekaribia.Hii sala nzito sana, huwa naomba Mungu ajalie nikifa isomwe mbele ya jeneza langu.
Padri anatoa adhabu.siyo adhabu ni Malipizi.. au tuseme fidia.. kwa kimombo "Penance"..
Kuna mapadre wanatoa hizo "Adhabu" ngumu ngumu ukienda kuungama kwao ... wengine wapo simple..
hii hupelekea baadhi ya watu kuchagua mapadre wa kuwaungamia...
Si umemuomba awahi Msiba, sasa tukizika tarehe 17/02/24 atakuwa hajawahi Msiba au unataka awepo hapo siku Zote mpaka siku ya Mazishi. Huyu ni Raisi wa Nchi anapokwenda na kutoka mahali kuna taratibu zake.Msiba unaendelea huku wewe unasema tarehe 17
Mambo gani tena? Mswalie Mtume.Sijui kama hajampa ujumbe atuletee "tuoane tu sio dhambi'
Papa ataenjoy sana leo sijui itakuwa doggy style au mbinuo! Aonje marashi yq kizanzibarRais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis mjini Vatican.
Angalia picha hapa,
View attachment 2901639
View attachment 2901640
View attachment 2901670
View attachment 2901682
Picha - Mwananchi
Written by Mjanja M1 ✍️
Sala ya Ekaristi sio Sala ya wafu, ni Sala ya shukrani. Elewa maana ya jambo kabla ya kuliparamia na pale usipoelewa uliza au kaa kimya kulinda heshima yako.Itakusaidia nini ilhali inawezekana sasa ukiwa hai u mlevi, mwizi, mzinzi, muongo, mfiraji, mlawiti, muabudu sanamu, muuaji n.k. Sala za Marehemu hazisaidii kitu, ukiwa hai ndio wakati wa kutengeneza na Mungu wako. Chukua hatua sasa kwani kesho ni fumbo na umilele wako umekaribia.
Huo mkufu kwenye hilo boksi lenye nembo ya Taifa ndio mama kampelekea Papa kama zawadi?
Na ziara hii kama nchi tunanufaika vipi?
Taarifa za aina hii huwa zinamuumiza sana FaizaFoxy na mwenzake THE BIG SHOW.
Hebu fikiria Papa kamualika Mama Vatican, na pasipo hiyana ametii wito. Ameenda kuambiwa nini na Papa; itabakia kuwa siri yake milele.
Inashangaza mnoHuo mkufu kwenye hilo boksi lenye nembo ya Taifa ndio mama kampelekea Papa kama zawadi?
Na ziara hii kama nchi tunanufaika vipi?
Waache usiwapa muda wako--Protestants wamehangaika kwa karne 20 kubomoa kanisa moja katoliki na la kitume wamefail wameungana na dini zote! wakumbuke alianzisha Yesu Kristo Mwenyewe wakaasi na alideclare "Hata Milango ya Kuzimu haitalishinda"Sala ya Ekaristi sio Sala ya wafu, ni Sala ya shukrani. Elewa maana ya jambo kabla ya kuliparamia na pale usipoelewa uliza au kaa kimya kulinda heshima yako.
Mimi Muislam wewe, msome Mtume Muhammad *SAW) utaelewankua hata mkewe mmoja Maria Kibtia alipewa zawadi na mkubwa wa kanisa.Taarifa za aina hii huwa zinamuumiza sana FaizaFoxy na mwenzake THE BIG SHOW.
Hebu fikiria Papa kamualika Mama Vatican, na pasipo hiyana ametii wito. Ameenda kuambiwa nini na Papa; itabakia kuwa siri yake milele.