Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mlinzi anaekaa nyuma ya Rais, hapo Vatican haruhusiwi?Hivi hapo St peter Huwa wanaUlinzi wa Swis au Wanatumia Vatican Police?
Ataruhusuwa lakin sio wakiwa Carmelengo offices au St Peter atakaa pamoja na walinzi wa kawaida pembeni ila sio Nyuma ya Papa..Yule mlinzi anaekaa nyuma ya Rais, hapo Vatican haruhusiwi?
Mkuu unajua papa ameamuru watu wale wabarikiwe??Kanisa Moja Takatifu La Mitume Duniani Kote
Ulianzia Sodoma na Gomola bwashee, hii Dunia imebeba kila aina ya uovuMkuu unajua papa ameamuru watu wale wabarikiwe??
Aisee...ahsante Kwa maelezo mazuri.Hilo siyo sanduku, mambo ya pwani hayo. Ni replica (mfano) ya mlango wenye nakshi na pia kabati dogo, utaiona sana katika majumba ya mali kale Zanzibar na pwani ya Tanzania hata katika makanisa ya muundo wa kale cathedral / basilica nchi Tanzania.
Another Vasco da GamaRais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis mjini Vatican.
Angalia picha hapa,
View attachment 2901639
View attachment 2901640
View attachment 2901670
View attachment 2901682
Picha - Mwananchi
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Roma Kuna fedha!?..wao wenyewe macho hazinaHuko Roma Sir-100 atakuja na fedha au ni Maombi tu
Atukuzwe mwenye heri Nyerere kwa kuliweka kanisa katikati ya mhimili wa nchiHuo mkufu kwenye hilo boksi lenye nembo ya Taifa ndio mama kampelekea Papa kama zawadi?
Na ziara hii kama nchi tunanufaika vipi?
Kwani Vatican Pana nini Hadi asipange kuiba uchaguzi!?..wamejaa wafirrajji tu paleAnakimbilia Vatican huku malengo yake ni kupora Uchaguzi anamlaghai nani?
Ukikutana na Papa aketiye Kitini pake mtume Petro ni Lazima umsujudieAtukuzwe mwenye heri Nyerere kwa kuliweka kanisa katikati ya mhimili wa nchi
Hiyo dini binaadam wanatukuzana sanaUkikutana na Papa aketiye Kitini pake mtume Petro ni Lazima umsujudie
Sasa kama kapanga kuiba UCHAFUZI ujao kwanini anajifanya kwenda Vatican and Why Now? Mwaka wa Uchafuzi mdogo na Mkubwa Mwakani.Kwani Vatican Pana nini Hadi asipange kuiba uchaguzi!?..wamejaa wafirrajji tu pale
"Let me show where mwalimu sign most frequently when visit this place... i know you know but you will surprised for what we have been agreed and achieved for the decades"Kwenye sanduku kuna nini jamani?
Kweni Avatar yako inasemaje inamankusweke?wamejaa wafirrajji