Picha: Rais Samia akutana na Papa huko Vatican

Picha: Rais Samia akutana na Papa huko Vatican

Huo mkufu kwenye hilo boksi lenye nembo ya Taifa ndio mama kampelekea Papa kama zawadi?
Na ziara hii kama nchi tunanufaika vipi?
Ulitaka adiende nna yeye kaalikwa na Papa?

Muulize Papa atafaidika nini, kumualika mama Samia.
 
Hakika inapendeza sana.
Mama ni mtu mwema sana pia amekutana na mtu mwema mwenzake Papa. Picha inaongea.

Papa anatufundisha upendo na kuheshimiana, huo ndio ukristu.
Chuki, fitina na unafiki havina nafasi.
Tupendane tushikamane Taifa letu litaendelee kuwa na amani na utulivu.
 
HATA AAMBIWE NAMNA GANI,HATAPATA RUHUSA YA KUUBARIK USENG.E NDANI YA TAIFA HILI,HATA YESU AFUFUKE HAITAWEZEKANA SISI KUFANYA SODOMY..!!
Lakini ukanda wa pwani na visiwani ndio michezo yao, hivyo hata bila ya kuambiwa hivyo, shughuli hizo zinaendelea pwani na visiwani
 
ni kwanin marais wote wa tz wanaenda vatcan isipokuwa magu ndio alikuwa kichwa ngumu kunani au hii dunia inamilikiwa na wenye na wenye ndio hao wenye new world order
 
Mimi Muislam wewe, msome Mtume Muhammad *SAW) utaelewankua hata mkewe mmoja Maria Kibtia alipewa zawadi na mkubwa wa kanisa.

Uiskam hauna uadui na yeyote, ni dini ya amani, wajinga kama wewe ndio hamjiielewi.
🗣️ Takbiiir!!! Takbiiir!!
 
Mimi Muislam wewe, msome Mtume Muhammad *SAW) utaelewankua hata mkewe mmoja Maria Kibtia alipewa zawadi na mkubwa wa kanisa.

Uiskam hauna uadui na yeyote, ni dini ya amani, wajinga kama wewe ndio hamjiielewi.
WAMEAMNISHWA NA JAMAA ZAO KUWA UISLAM NI DINI ILIYOONEZWA KWA UPANGA,NA KWAMBA ADUI MKUBWA WA UISLAM NI UKRISTO.

WENGINE WANAONGOPEWA KUWA NI DINI YA KUFUGA MAJINI NA KADHALIKA,WAKO BRAINWASHED SANA...

MFALME SULEIMANI ALIKUWA AMEPEWA MARI YA KUAMRISHA MAJINI NA KUWATUMIKISHA NA WAKATII,WASICHOKIJUA NI KWAMBA MAJINI NI VIUMBE WA MUNGU PIA,MAJINI WALIOASI WANAITWA MASHETANI...SOMO HILO KWAO NI ZITTO SANA.
 
Maza kampa papa Marashi kutoka Zanzibar,alafu na Vito vya dhamani kutoka bara mkufu wa Dhahabu wenye Nakish za tanzanite , diamond etc mgao ukija Zanzibar inapata 25% ya mgao 🤣 wote
 
Lakini ukanda wa pwani na visiwani ndio michezo yao, hivyo hata bila ya kuambiwa hivyo, shughuli hizo zinaendelea pwani na visiwani

Kama ukanda wa PWANI ndiyo mambo yao why PAPA hakutoa ruksa hiyo kwa watu wa ukanda huo??

Badala yake ruksa ya kupigana mashine kaitoa kwenu??

You have now sussed that SODOMY belongs to your side thats why he granted HOLY PERMISSION..!!

PIGANENI MASHINE MAZEE,RUKSA MNAYOO...
 
Naomba press release.....ys Vatican baada kikao.chao tafadhaliii
 
Back
Top Bottom