Picha: Rais Samia Suluhu aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

Picha: Rais Samia Suluhu aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

Huyu mama mvuto wote umepukutika utadhani amemdhulumu mganga wake kama Mwinjuma Muumini !
Yaani kaporomoka ghafra hata miezi sita haijafika ndy maana mm nawaunga mkono Islamic kuhusu wanawake even though mm ni christian huyu mama kaingizwa chaka nae kaingia kwa miguu na mikono miwili
 
ila Vangimembe Lukuvi bado nafsi yake haijaweka tick kabisa kua Samia ndio rais
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

View attachment 1884186
Hawa ndio wanaoitafuna nchi,mambo mabaya na mazuri yanasababishwa na hiki kikundi.
Nikichapa missile hapa,will be doing this country future generation a very big favour.
 
Wewe ndio hujui, wakiwa Dar hawalipwi posho yoyote maana wana nyumba huko pia. Kwa hiyo kama hiyo ndio ilikuwa tatizo lako nimeshakupa taarifa.
Kwa hiyo wana nyumba Dar pia wana nyumba Dodoma.....!!
 
Rais kivuli inasikitisha sana kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Huyo rais asiye kivuli hatumuoni akiongoza cabinet [emoji1787][emoji1787][emoji23] za kuambiwa changanya na za kwako yaan tumia akili mzee
 
Hakuna kitu kama hicho, makazi na familia zao zilishahamia Dodoma sio Dar tena

Wakija Dar wanalamba posho. Kumbuka kuna madereva pía huambatana nao plus Gharama za mafuta za yale 'mashangingi'

Waziri Kwandikwa amefariki na msiba ulikuwa nyumbani kwake Kibaha, kwann isiwe kwenye nyumba zao za mawaziri Masaki, Mikocheni au K'nyama!???
Hushasema mawaziri mtu akifa sio waziri tena mzee [emoji2]tumia AKILI
 
si tulikubaliana ikulu iwe ile ya dodoma au?
Bora akae hapo ikulu ya dar inakuwa ni rahisi kupata haki yake tusijasahaulishe juzi wakati wachanjo alisema yeye ni

1.Bibi
2.Mama
3.Mke
4.Raisi

Sasa huko dodoma ikulu ya dodoma inakuwa long distance then Mzee atoke Zanzibar kumfuata mama dodoma itifaki ya ndoa izingatiwe
 
Back
Top Bottom