Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Nadhani pia wameangalia mawaziri wengi kwa muda huu wapo DSM although haina justification ya gharama maana kiukweli tunaingia gharama kubwa sana kuhudumia Ikulu kuu mbili.Ile kubwa Chamwino ndiyo iko kwenye ujenzi,ila mule ndani kuna jengo la ofisi ya Rais na liko na ukumbi mkubwa tu wa kufanyia kikao kama hiki..
But kuna gharama hatuwezi kuziepuka just like kuoa wake wawili inabidi ukubali tu. Nyerere alishatuingiza kingi kuhusu kuhamia Dodoma na bwana yule akakazia kuhamia huko hakuna ujanja ain't no turning back kwa sasa.
Tumelivagaa wenyewe Ila ndio inatupa akili ya kuhoji kodi tunazolipa