Picha: Rais Samia Suluhu aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

Picha: Rais Samia Suluhu aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

Huyo makamu wa rais na PM ni sehemu ya hayo majanga ya yule dhalimu.
Kwani yeye Rais Samia alikuwa sehemu ya nani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha mnachekesha sana aisee!

Akili mnapeleka wapi?
 
Hivi kule Dodoma ujenzi umesimama?...😳 Vikao vinafanyika Dar es salaam wakati ofisi kuu iko Dodoma?. Basi hata vikao vya Bodi za wakurugenzi kwa mashirika warudie enzi zao ... vikao vifanyike hata Leister City na kazi iendelee tu.🤔
 
Sukuma na mataga wamemtisha mama amrgwaya....sasa tiss wanaongoza nchi
 
Maushungi kashindwa kazi. Nchi ni kama haina rais vile .
Ingekuwa kashindwa saa hizi makongamano ya katiba yangekuwa yameshafanyika, si mwanza tu bali nchi nzima. Pia mbowe angekuwa ameshaachiwa ndani ya siku moja km walivyoamuru chadema. Km hilo halitoshi, chanjo isingekuwepo km mwenye chuki pole pole anavyotaka na hata tozo ingekuwa imeshaondoka. Atapiga maendeleo na hamtaamini na nia zenu mbaya.......mtayasema wenyewe, mtake msitake. Naamini ni suala la muda tu
 
Ingekuwa kashindwa saa hizi makongamano ya katiba yangekuwa yameshafanyika, si mwanza tu bali nchi nzima. Pia mbowe angekuwa ameshaachiwa ndani ya siku moja km walivyoamuru chadema. Km hilo halitoshi, chanjo isingekuwepo km mwenye chuki pole pole anavyotaka na hata tozo ingekuwa imeshaondoka. Atapiga maendeleo na hamtaamini na nia zenu mbaya.......mtayasema wenyewe, mtake msitake. Naamini ni suala la muda tu

Ni kweli ameweza sana, hebu tuambie yule aliyejiunganishia bomba la mafuta kafungwa miaka mingapi? Waziri Mkuu alisema reli ya SGR kipande cha Dar-Moro kitaanzasafari mwezi huu wa 8, ni wapi tiketi zinapatikana nataka kwenda Morogoro kwa hiyo treni mwezi huu.
 
Huyu mama kapoteza sifa yake kwa namna ambayo kuna muda huwa nikikaa namsikitikia sana.Alianza vizuri mno mno.
Nimekupata kamanda, kutopoteza sifa unamaanisha kwenda sawa na matakwa ya chadema ya katiba mpya, au sio? Ukweli ni kuwa sasa ndo ataweza kuongoza na kufanikisha vizuri.......angeendelea km alivyoanza kuwasikiliza hawa jamaa kiroho safi na kiupole, saa hz angelikuwa ameshaanza kuona joto la jiwe; ye akiwatangazia wananchi kuwa wafanye usafi, chadema wangepita baadae kuwaambia marufuku kufanya usanyi. Tumeyaona sana haya kipindi cha kikwete. Ajaribu aone! Kawaonyesha ubinadamu tu kidogo wa kuwatoa jela na kuwafutia kesi, tayari wanampangia habari za katiba mpya na maandamano km shukrani
 
Ila Watanzania hatuwezi kufanikiwa kwenye anga za uchumi wa ushindini. Eti Hii ni picha ya ikulu?

Kikao cha Baraza la Mawarizi? Angalia lile bango nyuma ya hao mawaziri, ubora wa bango na lilivyoegeshwa kwa mbao?! Ungetegemea watu watumie fursa kama hizi kutoa vitu vyenye ubora vya kutangaza mbuga zetu ila mhhhh
Mkuu unawaza kama mimi,nashangaa sana namna tunavyoweka mambo yetu,hapo ndipo kikao cha baraza la mawaziri kinafanyikia yaani dah..

Tazama ziara ya Rwanda juzi wale jamaa masuala ya itifaki wanayajua kweli kweli,ila bongo kweli nyoso..
 
Lakini last time walikaa Dodoma Ila Ikulu ndogo nadhani Ile kubwa haijakamilika baadhi ya miundombinu
Ile kubwa Chamwino ndiyo iko kwenye ujenzi,ila mule ndani kuna jengo la ofisi ya Rais na liko na ukumbi mkubwa tu wa kufanyia kikao kama hiki..
 
Nimekupata kamanda, kutopoteza sifa unamaanisha kwenda sawa na matakwa ya chadema ya katiba mpya, au sio? Ukweli ni kuwa sasa ndo ataweza kuongoza na kufanikisha vizuri.......angeendelea km alivyoanza kuwasikiliza hawa jamaa kiroho safi na kiupole, saa hz angelikuwa ameshaanza kuona joto la jiwe; ye akiwatangazia wananchi kuwa wafanye usafi, chadema wangepita baadae kuwaambia marufuku kufanya usanyi. Tumeyaona sana haya kipindi cha kikwete. Ajaribu aone! Kawaonyesha ubinadamu tu kidogo wa kuwatoa jela na kuwafutia kesi, tayari wanampangia habari za katiba mpya na maandamano km shukrani
Nikiangalia ulichoandika nakubaliana na hoja kwamba Mtanzania ni sokwe aliyedumaa 🤣 🤣 .
 
Ni kweli ameweza sana, hebu tuambie yule aliyejiunganishia bomba la mafuta kafungwa miaka mingapi? Waziri Mkuu alisema reli ya SGR kipande cha Dar-Moro kitaanzasafari mwezi huu wa 8, ni wapi tiketi zinapatikana nataka kwenda Morogoro kwa hiyo treni mwezi huu
Kwahiyo hayo ndo unahitimisha kuwa ameshindwa?!! Hivi ulisifia chochote alipogundua hilo suala la wizi? Maana hata hatujui ulianza lini. Kesi ni mchakato, inatoka inapokamilika si pale wanapotaka watu fulani waliokaa kimitego na majungu ba husda.

Hilo suala alilolitangaza waziri mkuu; je, leo unapolaumu umejiridhisha kuwa factors zote zilikuwa constant kutoka siku hiyo hadi hii leo?!!
 
Nikiangalia ulichoandika nakubaliana na hoja kwamba Mtanzania ni sokwe aliyedumaa 🤣 🤣 .
Mi pia nikiangalia hiko ulichoandika na kukuchekesha, nakubaliana moja kwa moja na wanaokuiteni MANYUMBU
 
Back
Top Bottom