GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Chamwino tushapigwa😂😂Kikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??
Daah.....!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chamwino tushapigwa😂😂Kikao kimefanyika Dar tena sio Ikulu ya Dodoma!??
Daah.....!!!
Unaumiza kichwa bure, fanya kazi ingizia kipato familia yako.Swali lake la msingi ni kwamba-Kwa nini serikali ilitumia kodi yake vibaya kujenga ikulu nyingine dodoma na kulipa wafanyakazi pamoja na gharama nyingine wakati ikijua haina utashi wa dhati na jambo hilo?
That means Rais wa Zanzibar is nothing more than a mere Minister. Rais anaingia kikao Cha Baraza la Mawaziri kinachokuwa chaired na Rais wa Jamhuri ya Muungano wakati yeye alipaswa kukaa kikao Chao wawili kinachokuwa chaired na Waziri wa Muungano kama moderator 🤷Naona waziri Hussein Mwinyi yupo na PM na senior Lukuvi hapo.
Mama aliwahi kuendesha kikao hicho enzi za JPM na Hussein akiwa kakaa pembeni ya PM hivyo yani.
Asipokuwepo Raisi, Makamu, WM, basi kikao kitaendeshwa na Lukuvi, Hussein akiendelea kukaa hapo hapo sio?
Zanzibar inaongozwa na raisi au waziri wa serikali ya JMT? Kikao hicho kinazungumzia mambo ya Muungano tu au hata na yale yasio ya muungano?
Kwanini kwenye bunge la JMT, ZNZ ingekuwa inawakilishwa na spika wa baraza lao pengine na makamu wa huko kwao?
Kwanin kwenye bunge la JMT kusingekuwa na session ya kujadili mambo ya muungano ambapo wawakilishi wa Znz wanakuwepo, session ikiisha wajikatae?
Hata sielewi, ndo mnasema tunatakiwa kupata Katiba nyingine ili niweze kuelewa?
Sasa kama wewe ndo njia uliyojipangia,why bother kuwapangia wengine wawaze kama wewe in the first place??Unaumiza kichwa bure, fanya kazi ingizia kipato familia yako.
Lakini last time walikaa Dodoma Ila Ikulu ndogo nadhani Ile kubwa haijakamilika baadhi ya miundombinuUnaumiza kichwa bure, fanya kazi ingizia kipato familia yako.
Cabinet inayoongoza duniani kote katika kukiogopa chama kimoja tu cha upinzani. Hakunaga!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Anafanya nini na baraza la mawaziri la hayati Magufuli?!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Are you referring to the shadow chairperson? Of course Samia!Who is chairperson of cabinet?
Amerudisha serikali dar. Aisee inakera sana. Inaonekana anataka kuendesha nchi kama ile ngo yake kwamba misaada toka kwa wazungu ndio muhimu. Aina zote za kujitegemea sasa zinawekwa kapuni.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Wewe ndio hujui, wakiwa Dar hawalipwi posho yoyote maana wana nyumba huko pia. Kwa hiyo kama hiyo ndio ilikuwa tatizo lako nimeshakupa taarifa.
Hujaelewa?
Maskini confidence = 0% macho kurembua kama kondoo kanywa mbege=100% Sasa nimewaelewa akina Bashiru waliotaka hili zezeta lisikanyege ikulu ona sasa kushikwa masikio full!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Hawa ndiyo wametuletea chanjoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo tarehe 07 Agosti, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaam. https://t.co/Nm1ct3TGZi
View attachment 1884186
Lile genge ni nani na nani maana ulisema kina bashiru wamekomeshwa?Kuruhusu kushauriwa na lile genge la yule mtawala muovu.
Dikteta hayupo na sasa tuko na mama anatupeleka vizuri!Kulazimisha kukamilisha makao makuu Dodoma ulikuwa uamuzi wa kukurupuka wa yule mshamba na dikteta uchwara aliyekufa kifo cha kizembe kwa kuendekeza ushirikina kwenye korona
Kulazimisha kukamilisha makao makuu Dodoma ulikuwa uamuzi wa kukurupuka wa yule mshamba na dikteta uchwara aliyekufa kifo cha kizembe kwa kuendekeza ushirikina kwenye korona
😁😁😁That means Rais wa Zanzibar is nothing more than a mere Minister. Rais anaingia kikao Cha Baraza la Mawaziri kinachokuwa chaired na Rais wa Jamhuri ya Muungano wakati yeye alipaswa kukaa kikao Chao wawili kinachokuwa chaired na Waziri wa Muungano kama moderator 🤷
Huyo makamu wa rais na PM ni sehemu ya hayo majanga ya yule dhalimu.Lile genge ni nani na nani maana ulisema kina bashiru wamekomeshwa?