Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

Wamepiga mpuga wa bure huyo sio Nyerere.....

Hivi balozi hakuenda kuhakiki hiyo sanam?

Teh teh unakwenda kuzindua hata mbuzi

Daah ukiangalia hiyo pua sio ya kule Butiana
Hivi hicho kifimbo si ndicho alikuwa anakinyosha juu. Kwa mkono wa kulia. Au nimesahau !
 
Ningegemea watu wa flow namna Nyerere alivyojitoa kupambana na akina Ian Smith wa Rhodesia, akina Verwood na John Voster wa South Africa na King Olivera Salazar wa Portugal.

Tuna kizazi ambacho kimezoea mambo ya futuhi na udaku tu
Unapambana na Ian Smith na John Voster, lakini domestically wewe dikteta, ina maana gani?

Kuna li sheria la Nyerere, linaitwa Preventive Detention Act, linamruhusu Rais kupitia saini ya Waziri wa Mambo ya Ndani, kumfunga raia yeyote bila kesi. Tume ya Nyalali ilisema lisheria lifutwe, wamekataa. Tunalo mpaka leo. Urithi wa Nyerere.

Mbowe alifutiwa kesi na Rais Samia baada ya mazungumzo ya CHADEMA na Rais. Sio na DPP, bali Rais moja kwa moja kwa saab DPP hapaswi kuingiliwa. Rais alitumia mamlaka yake kukamata na kuachia chini ya Preventive Detention Act ya Nyerere. Inatutafuna mpaka leo. Umepigana na Kaburu na Ian Smith halafu unakuja kuleta ukaburu kwa wenzio. Same thing with Mugabe. Hatukuwa na bahati Afrika kupata viongozi waliolewa mantiki ya kujitawala.
 
Hii ndiyo imemeza 400+ millions!!! Halafu tukijiita sisi ni donor country watu wanabeza!!! Ha ha haaa!!! Nacheka lakini si mazuri Hata kidogo.
 
Huu utakua mzimu wa Baba wa Taifa.Hata hajafanana naye si ajabu walimpa dili Kigwa tena[emoji4]
 
Unapambana na Ian Smith na John Voster, lakini domestically wewe dikteta, ina maana gani?

Kuna li sheria la Nyerere, linaitwa Preventive Detention Act, linamruhusu Rais kupitia saini ya Waziri wa Mambo ya Ndani, kumfunga raia yeyote bila kesi. Tume ya Nyalali ilisema lisheria lifutwe, wamekataa. Tunalo mpaka leo. Urithi wa Nyerere.

Mbowe alifutiwa kesi na Rais Samia baada ya mazungumzo ya CHADEMA na Rais. Sio na DPP, bali Rais moja kwa moja kwa saab DPP hapaswi kuingiliwa. Rais alitumia mamlaka yake kukamata na kuachia chini ya Preventive Detention Act ya Nyerere. Inatutafuna mpaka leo. Umepigana na Kaburu na Ian Smith halafu unakuja kuleta ukaburu kwa wenzio. Same thing with Mugabe. Hatukuwa na bahati Afrika kupata viongozi waliolewa mantiki ya kujitawala.
Nenda ukakojoe halafu ukalale. Unaangalia mambo katika upeo wa chini sana.

Haya ni watu wangapi aliwapeleka detention na waliishia wapi?
 
Wadau mbona mi picha kwanga haziload? Soini picha just a broken thumbnail!!!
 
Unapambana na Ian Smith na John Voster, lakini domestically wewe dikteta, ina maana gani?

Kuna li sheria la Nyerere, linaitwa Preventive Detention Act, linamruhusu Rais kupitia saini ya Waziri wa Mambo ya Ndani, kumfunga raia yeyote bila kesi. Tume ya Nyalali ilisema lisheria lifutwe, wamekataa. Tunalo mpaka leo. Urithi wa Nyerere.

Mbowe alifutiwa kesi na Rais Samia baada ya mazungumzo ya CHADEMA na Rais. Sio na DPP, bali Rais moja kwa moja kwa saab DPP hapaswi kuingiliwa. Rais alitumia mamlaka yake kukamata na kuachia chini ya Preventive Detention Act ya Nyerere. Inatutafuna mpaka leo. Umepigana na Kaburu na Ian Smith halafu unakuja kuleta ukaburu kwa wenzio. Same thing with Mugabe. Hatukuwa na bahati Afrika kupata viongozi waliolewa mantiki ya kujitawala.
Ofcourse, kama binadamu anamapungufu yake lakini mazuri na yenye manufaa Kwa jamii kubwa aliotenda ni mengi zaidi na hayo tunayapa kipaumbele. Wangapi wameweza kufanya aliofanya? Pia naimani Kuna Sheria ziliwekwa kulingana na hali ya wakati, huwezi jua iliwekwa kulinda kuibuka vikundi ambavo vingekua tishio kwa serikali changa katika kipindi hiko.
 
Ofcourse, kama binadamu anamapungufu yake lakini mazuri na yenye manufaa Kwa jamii kubwa aliotenda ni mengi zaidi na hayo tunayapa kipaumbele. Wangapi wameweza kufanya aliofanya? Pia naimani Kuna Sheria ziliwekwa kulingana na hali ya wakati, huwezi jua iliwekwa kulinda kuibuka vikundi ambavo vingekua tishio kwa serikali changa katika kipindi hiko.
Makubwa,yenye manufaa kwa jamii, makubwa yapi, kumng'oa mkoloni? Ili kusudi mjitawale, halafu unatawala kwa sheria zile zile dhalimu za mkoloni ???? Nini lilikuwa dhumuni la kujitawala ?

Nenda ukakojoe halafu ukalale.
Enheeee, matusi na undava.

Vintage Julius Nyerere when he was losing an argument. Archetypical Julius Nyerere.


1967 aliwaita wenzie malaya aliposhindwa kutetea hoja ya ujamaa. Akasema atawakamata atawaanika, ata prove his point, he never did.

1969 viwanja vya mnazi mmoja, Nyerere alimteka Waziri mtenguliwa Kassim Hanga Msasani akamleta viwanjani Mnazi Mmoja kumzodoa kwa matusi. Kasim Hanga hakuonekana tena.

1970's and 1980's mashuleni chipukizi wa CCM tulikuwa tunaimbishwa, "Kambona Kaolewa, Wapi, Huko Ulaya, na nani...." Kamuzu Banda katuvalia shanga za mkewe, kututishia Watanzania, hatujali, hatujali....." Watoto wadogo tunafundishwa nyimbo za matusi ya ki-gay kwa chuki za Nyerere kwa aliotofautiana nao.

1983 aliwaita wapumbavu na wachu wa madaraka waliomwambia huu Muungano wako, nchi ya sq km 943,000 na shamba la sq km 2000, make it make sense. Kakamata, katukana, katia kizuizini. Umetawala miaka 29 (24+5), unapataje moral standing ya kushutumu wenzio kwa uchu wa madaraka ? Those that know know. Foul language, recrimination and repression of dissent were the hallmark and legacy of Julius Nyerere in Tanzania's body politic.
 
yule aliyetengeneza lile la dodoma(nyerere square) alishakufa??
 
Makubwa,yenye manufaa kwa jamii, makubwa yapi, kumng'oa mkoloni? Ili kusudi mjitawale, halafu unatawala kwa sheria zile zile dhalimu za mkoloni ???? Nini lilikuwa dhumuni la kujitawala ?


Enheeee, matusi na undava.

Vintage Julius Nyerere when he was losing an argument. Archetypical Julius Nyerere.


1967 aliwaita wenzie malaya aliposhindwa kutetea hoja ya ujamaa. Akasema atawakamata atawaanika, ata prove his point, he never did.

1969 viwanja vya mnazi mmoja, Nyerere alimteka Waziri mtenguliwa Kassim Hanga Msasani akamleta viwanjani Mnazi Mmoja kumzodoa kwa matusi. Kasim Hanga hakuonekana tena.

1970's and 1980's mashuleni chipukizi wa CCM tulikuwa tunaimbishwa, "Kambona Kaolewa, Wapi, Huko Ulaya, na nani...." Kamuzu Banda katuvalia shanga za mkewe, kututishia Watanzania, hatujali, hatujali....." Watoto wadogo tunafundishwa nyimbo za matusi ya ki-gay kwa chuki za Nyerere kwa aliotofautiana nao.

1983 aliwaita wapumbavu na wachu wa madaraka waliomwambia huu Muungano wako, nchi ya sq km 943,000 na shamba la sq km 2000, make it make sense. Kakamata, katukana, katia kizuizini. Umetawala miaka 29 (24+5), unapataje moral standing ya kushutumu wenzio kwa uchu wa madaraka ? Those that know know. Foul language, recrimination and repression of dissent were the hallmark and legacy of Julius Nyerere in Tanzania's body politic.
Kubwa moja wapo ni matibabu na elimu bure. Wewe pimbi bila Nyerere pengine ungefia tumboni kwa mama yako. Jifunze kushukuru kwa kidogo Nyerere alichofanya.
 
Makubwa,yenye manufaa kwa jamii, makubwa yapi, kumng'oa mkoloni? Ili kusudi mjitawale, halafu unatawala kwa sheria zile zile dhalimu za mkoloni ???? Nini lilikuwa dhumuni la kujitawala ?


Enheeee, matusi na undava.

Vintage Julius Nyerere when he was losing an argument. Archetypical Julius Nyerere.


1967 aliwaita wenzie malaya aliposhindwa kutetea hoja ya ujamaa. Akasema atawakamata atawaanika, ata prove his point, he never did.

1969 viwanja vya mnazi mmoja, Nyerere alimteka Waziri mtenguliwa Kassim Hanga Msasani akamleta viwanjani Mnazi Mmoja kumzodoa kwa matusi. Kasim Hanga hakuonekana tena.

1970's and 1980's mashuleni chipukizi wa CCM tulikuwa tunaimbishwa, "Kambona Kaolewa, Wapi, Huko Ulaya, na nani...." Kamuzu Banda katuvalia shanga za mkewe, kututishia Watanzania, hatujali, hatujali....." Watoto wadogo tunafundishwa nyimbo za matusi ya ki-gay kwa chuki za Nyerere kwa aliotofautiana nao.

1983 aliwaita wapumbavu na wachu wa madaraka waliomwambia huu Muungano wako, nchi ya sq km 943,000 na shamba la sq km 2000, make it make sense. Kakamata, katukana, katia kizuizini. Umetawala miaka 29 (24+5), unapataje moral standing ya kushutumu wenzio kwa uchu wa madaraka ? Those that know know. Foul language, recrimination and repression of dissent were the hallmark and legacy of Julius Nyerere in Tanzania's body politic.
Kwa mtazamo wangu
Makubwa,yenye manufaa kwa jamii, makubwa yapi, kumng'oa mkoloni? Ili kusudi mjitawale, halafu unatawala kwa sheria zile zile dhalimu za mkoloni ???? Nini lilikuwa dhumuni la kujitawala ?


Enheeee, matusi na undava.

Vintage Julius Nyerere when he was losing an argument. Archetypical Julius Nyerere.


1967 aliwaita wenzie malaya aliposhindwa kutetea hoja ya ujamaa. Akasema atawakamata atawaanika, ata prove his point, he never did.

1969 viwanja vya mnazi mmoja, Nyerere alimteka Waziri mtenguliwa Kassim Hanga Msasani akamleta viwanjani Mnazi Mmoja kumzodoa kwa matusi. Kasim Hanga hakuonekana tena.

1970's and 1980's mashuleni chipukizi wa CCM tulikuwa tunaimbishwa, "Kambona Kaolewa, Wapi, Huko Ulaya, na nani...." Kamuzu Banda katuvalia shanga za mkewe, kututishia Watanzania, hatujali, hatujali....." Watoto wadogo tunafundishwa nyimbo za matusi ya ki-gay kwa chuki za Nyerere kwa aliotofautiana nao.

1983 aliwaita wapumbavu na wachu wa madaraka waliomwambia huu Muungano wako, nchi ya sq km 943,000 na shamba la sq km 2000, make it make sense. Kakamata, katukana, katia kizuizini. Umetawala miaka 29 (24+5), unapataje moral standing ya kushutumu wenzio kwa uchu wa madaraka ? Those that know know. Foul language, recrimination and repression of dissent were the hallmark and legacy of Julius Nyerere in Tanzania's body politic.
Ujamaa ilikua muhimu sana Kwa wakati tumeachwa na mkoloni uchi tumeanza kujitegemea. Uongozi unamajaribu mengi simlaumu Nyerere kuwaziba midomo baadhi ya walokua wanamuanzishia chokochoko kuchallenge uongozi wake, nahii ndombinu ilofanikisha Tanzania kuwa na amani na utulivu Kwa kipindi chote. Ukiangalia nchi nyingine vita za wenyewe Kwa wenyewe ziliibuka na vyanzo Huwa ni vibaraka walopandikizwa kuanzisha chokochoko. Ndomana walivomshindwa ndani ya nchi yake ilihamishiwa jiradi Uganda. Aisee mpe mzee heshima yake this man was TRUE HERO.
 
Back
Top Bottom