Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kabisa Bora tungebakia nao tuUkombozi upi Bora tungebakia na wakoloni tungekuwa mbali kuliko wezi hawa.
Maisha ya waafrika yamekuwa duni sana baada ya uhuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa Bora tungebakia nao tuUkombozi upi Bora tungebakia na wakoloni tungekuwa mbali kuliko wezi hawa.
Maisha ya waafrika yamekuwa duni sana baada ya uhuru.
Nyerere wa kuchongaNyerere gani sasa huyo?😂😂
Fanya utafiti upate factKwa akili yako hii bora baba yako angetumia kondom au angemwagia nje
Nyerere alivokuwa hai alikataa movie ya maisha yake naona pia sanamu alilikataaNadhani Nyerere amegoma kufanywa Sanamu , wamuache tu
Yeah huyu ni mwalim katika miaka ya 30 to 45 alikuwa hivi......haina ubishi tume kutengeneza sabamu hii ilihusisha fanilia....wengi watoto juzi wana taswura Nyerere akiwa above 60.....Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 ✍️
Hapana,malacelaTaswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 ✍️
Hangaikeni na SANAMU, mimi sipo.Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 ✍️
Ile sanamu haiakisi taswira ya Mwl.J.K.Nyerere hata kwa kidogo.Sifahamu kama kulikuwa na ulazima wa kuichonga tena voluntarily ilhali hatuna msanii sahihi?Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 ✍️
Ni vituko vya dunia sijui familia yake mtawambia nini , na udhalilishaji huu, ccm ni shida sanaTaswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 ✍️
Mzee wa miamala mitatuHuyu atakua ni Steve Nyerere bila shaka
Atleast ile ya Nyerere Square Dodoma ina nafuusijui kwa nini Mwl. JKN huwa ana bahati mbaya ya kukosewa sanamu zake!
Aisee, afadhali leo nimeipata kujua kuna watu wana fikra kama zinazoniumiza kichwa namimi.Tanzania chini ya Uongo thabiti wa Mwl.Nyerere Ilimwaga damu ya watu wake(Wanajeshi walioenda kupiga Nchi zingine? Ilitumia Rasilimali Fedha na muda Kwa Ajili ya kufundisha na kusaidia Nchi mbalimbali ambazo zilikuwa zinapambana na Wakoloni.
On top of that tulihifadhi Hadi Wakimbizi wao na kuwalisha Bure lakini juhudi zetu hizo hazijawahi kutambuliwa na kuthaminiwa vya kutosha hapa Afrika.
Baada ya miaka Mingi baadae eti Leo AU ndio Wanakumbuka kujenga Sanamu ya Mwl.Nyerere kumpa heshima ambayo alistahili miaka Mingi iliyopita.
Nelson Mandela Kwa msukumo wa Wazungu ndio anaabudiwa hapa Afrika wakati hakuna chochote Cha maana alichosaidia Afrika zaidi ya kuwasamehe Wazungu.
Nchi ambazo Tanzania imezisaidia Moja kwa Moja ni South Africa,Namibia,Angola, Mozambique, Zimbabwe, Zambia, DR Congo, Uganda, Burundi na Rwanda.
Hata Sasa tunaendelea kuzisaidoa Nchi nyingi tuu kwenye masuala mbalimbali.
View attachment 2907859View attachment 2907860View attachment 2907861
My Take
Tanzania tunastahili Zaidi na ilitakiwa hata AU HQ iwe Tanzania sio Ethiopia.
Ni vyema AU Secretariet ikafikiria kuweka Makao Makuu ya baadhi ya taasisi zake Tanznaia Ili kuenzi mchango wa Nchi yetu.
Hakuna Nchi nyingine iliyojitolea kuzidi Tanzania.
Hizi ndiyo hoja za kujadili sasa na siyo perfection ya sanamu ya Nyerere.Aisee, afadhali leo nimeipata kujua kuna watu wana fikra kama zinazoniumiza kichwa namimi.
Nidhahiri kuwa Kuna mashujaa branded walipewa heshima kubwa kuliko walivostahili barani Africa, ilihali mashujaa halisi kama Mwl.Julius Nyerere hawakupata heshima waliostahili kutokana na mchango wao mkubwa uliotukuka barani hapa. Naheshimu juhudi za Nelson Mandela lakini Kwa mtazamo wangu, mchango wake hauwezi kulinganishwa na watu kama Nyerere. Nidhahiri mkoloni hakuondoka Africa na kisasi alilipiza Kwa kuzima nyota za wababe zake especially Julius Nyerere "Ni Shujaa Halisi"
Kuna namna fulani Jamaa walikua wanaelekea kumpatia Ila nahisi kuna mpuuzi alikua anawalazimisha wawahi kumaliza ukitaka kuangalia vizuri angalia Sura Ina mapungufu madogo sana kutokea Nyerere halisi yaan madogo sana wakiongeza wino tu inakaa sawaTaswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika
Ndugu yangu umeona kama nilivoona Mimi, mpaka nimesema Kuna namna nyota ya Nyerere inazimwa Kwa namna yoyote. Kwanini watu wasifocus na maana halisi ya heshima hiyo zaidi ni muonekano wa sanamu, real!! Young generation wengi Africa wanajua Nelson Mandela ndio Hero lakini Kuna True Hero's wamefunikwa kwasababu maalum.Hizi ndiyo hoja za kujadili sasa na siyo perfection ya sanamu ya Nyerere.
Tatizo la Watanzania ni kwamba hakuna wanaojadili kwa nini jina la Nyerere linapata status ya sanamu, instead wamejikita kwenye trivial issues za appearance ya sculpture. Hapo ndiyo tunafeli sana.
Ningegemea watu wa flow namna Nyerere alivyojitoa kupambana na akina Ian Smith wa Rhodesia, akina Verwood na John Voster wa South Africa na King Olivera Salazar wa Portugal.
Tuna kizazi ambacho kimezoea mambo ya futuhi na udaku tu