Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

Written by Mjanja M1 ✍️
ila kigwa mhuni sana. Nyerere angekuwa baba yangu ningemfungulia kesi huyu jamaa.
 
Hiyo ni dalili kuwa Nyerere alishasahaulika, hata taswira yake hakuna anayemkumbuka..... au kakunja sura kwa vile jua linamtandika?
 
Vijana mshazoea 3D jamani hilo sanamu lipo sawa japo sio 3D.
 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

Written by Mjanja M1 ✍️
Wamepatia tu hiyo suit na ndula.
 
Sanamu yenyewe ndio hiyo hapo chini, ni sanamu ya nani hiyo?
0569E2B4-C6E8-48E4-B1E8-AE5396E83577.jpeg
 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

Written by Mjanja M1 ✍️
Hiyo sanamu nimeangalia nikadhani ni Kwame Nkrumah maana sura siyo kabisa ya Baba wa Taifa hili
 
Hiyo sanamu nimeangalia nikadhani ni Kwame Nkrumah maana sura siyo kabisa ya Baba wa Taifa hili
Sca...
Mimi nimeweka uzi mapema alfajir kuhusu sanamu ya Julius Nyerere lakini naona kama vile imeondolewa labda kwa kuwa umewekwa uzi huu ambao somo ni moja.

Kwa ajili hii basi naungana na uzi huu kwa kuweka tena yale niliyosema pamoja na picha.

Naamini itanogesha:

''Sanamu ya Mwalimu Nyerere iliyoziunduliwa Addis Ababa imeninyong'onyeza kupita kiasi.

Imenivunja nguvu kwa sababu hiyo sanamu huyo si Julius Nyerere.
Nimeingia Maktaba kutafuta picha ambayo Mwalimu itamuounyesha kanyanyua mkono ili ifanane na picha ya sanamu ili watu wafananishe na waone tofauti kubwa iliyoko baina ya Nyerere sanamu na Nyerere mwenyewe halisi alivyokuwa.''

Picha ya tatu inamwonyesha Mwalimu Nyerere na mchonganyi sanamu wakati wa uhai wake.

1708341967301.png

1708342031131.png

1708342061289.png


 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

Written by Mjanja M1 ✍️
Huyo ni Lucas mwashambwa 😂😂😂😂😂
 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

Written by Mjanja M1 ✍️
Ni wewe
 
sijui kwa nini Mwl. JKN huwa ana bahati mbaya ya kukosewa sanamu zake!
 
Huyo ni Nyerere.

Madaraka Nyerere 🤣🤣🤣
 
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.

View attachment 2907853

View attachment 2907854

View attachment 2907855

Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.

View attachment 2907856

Written by Mjanja M1 ✍️
Ukimwangalia kwa pembeni ni yeye ukimuangalia kwa mbele sio yeye iĺa huenda ni yeye ila wametumia sura ya kipindi anaumwa kwa hiyo ni sura ya mwezi October 1999.
Ila pia inawezekana pia kila mtu ana Nyerere wake yupo na huyu
 

Attachments

  • 20240218_221618.jpg
    20240218_221618.jpg
    832 KB · Views: 4
Back
Top Bottom