Uharamia, ufedhuli, udhalimu na uovu wa CCM sasa umeshapata dawa yake ya muarobaini.Shule za kata zimewatoa vijana wengi tongotongo la ujinga, sasa wamekuwa ndiyo chachu ya mabadiliko kwa wazazi na walezi wao. RIP CCM, makada walikupenda, lkn Watanzania wamewaona kuwa wana CCM ni vioja na mahoka tu, na wala hawastahili kuiongoza nchi yetu.Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chadema , ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti
View attachment 1561090View attachment 1561091View attachment 1561092
Kwako Nangu Mene Wala Si Jipya!!
Uharamia, ufedhuli, udhalimu na uovu wa CCM sasa umeshapata dawa yake ya muarobaini.Shule za kata zimewatoa vijana wengi tongotongo la ujinga, sasa wamekuwa ndiyo chachu ya mabadiliko kwa wazazi na walezi wao. RIP CCM, makada walikupenda, lkn Watanzania wamewaona kuwa wana CCM ni vioja na mahoka tu, na wala hawastahili kuiongoza nchi yetu.
Oktoba 28 ushindi wa ccm ni asilimia 98
Ccm imekufa kwasabb kabaki nayo Magufuli tu na wale aliowapa ulaji (wateule). Lkn kwa akina mie CCM haipo moyoni mwao.John MAGUFULI si mwenye CCM...
Sasa inakufaje?!!!
Duh nilifikiri kampeni za urais kumbe ubunge tu kweli CDM mabingwa.Huu ni uzinduzi wa Kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Tarime Mjini kwa tiketi ya Chadema , ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti
View attachment 1561090View attachment 1561091View attachment 1561092
Yaani Unachekesha KITOTO kweli....Una CT SCAN na MRI ya Kuiona mioyo ya WANACCM tulio wengi nje ya Uongozi na uteule uusemao?!!!Ccm imekufa kwasabb kabaki nayo Magufuli tu na wale aliowapa ulaji (wateule). Lkn kwa akina mie CCM haipo moyoni mwao.
Ccm chini ya John imekufa. John mwenyewe ana kinywa kichafu Sana kimejaa ufedhuli na dharau.
Wakulima sisi hawa hawa ambao John ametuharihia masoko ya mazao yetu?sisi wakulima na Wafanyakazi wa kawaida kabisa.....
Wakulima sisi hawa hawa ambao John ametuharihia masoko ya mazao yetu?
Wafanyakazi hawa hawa ambao hali zao zimekuwa mbaya kwa kunyimwa nyongeza za mishahara yao kwa miaka 5?
Joined June 9 , 2020Jidanganyeni tu na hivi vipicha mnavyopiga kwa angle fulani fulani uhuni wenu kwisha hakuna wa kuwapa nchi wahuni watz Wana akili timamu
Hakika !
When you are the incumbent seeking re-election you don’t run on new promises, but run on your past record” Politics 121.Kutoka wabunge 70 mpaka 2.
Taarifa zinaonyesha kwamba vyombo vya dola vimemchokaSio kwa kura, labda kwa maagizo ya Magufuli.
AlitufokeaHuko Mara CCM haina Chake tena Jamaa ndiyo kaharibu sana juzi alipopita anafikiri wale ni watu wa kuwafokea fokea ,wenyeji wanasema alikosa lugha ya ustaarabu hivyo lazima wamuadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Ww chadema umeipendea nini?Hivi uliipendea nini CCM, au babako ni balozi wa nyumba kumi?!
Labda muwateke wapiga kura kama majaliwa alivo wateka wagombeaOktoba 28 ushindi wa ccm ni asilimia 98